Msiogope kufanya mambo ya maendeleo kwa sababu ya kuogopa kuchapiwa. Mwanamke unaweza kuwa nae 24/7, 365 days a year, lakini kama ana hulka ya kuchepuka huwezi mzuia. Mbona kuna wengi tu wanaojitambua!!!.
Alichosema hy Dada kina ukweli ila kaka zangu mwanamke dizaini hy ana hulka ya kuchepuka tu ht uache kazi mshinde wote lkn lazima achepuke,kwn huo ubusy c kwa Faida ya family yenu au??mkimpata wa dizaini hy mwambie aache kazi/biashara muwe mnaongozana popote uendapo...mwanamke anayejitambua na kujithamini hawez fanya upumbavu huo
Dah!!..haya sasa majanga..........Mtu ukiwa nyumbani unawaza hela nitaipata wapi ili niihudumie familia yangu...ukiwa sehemu za kazi unawaza sijui wife saa hizi anagegedwa..na nani??....mwisho wa siku mtu unakuta kaanguka ghafla na kapooza mwili mzima....kwa mawazo........
naona wengi wamepinga maoni ya huyo dada kuwa wanaume ambao wako busy sio chanzo cha wanawake wao kuchepuka bali ni tabia ya muhusika....je ni kweli kuchepuka hakuwezi kusababishwa na manyanyaso,mazingira[kama hio mume kukosa muda na mkewe etc]?? mazingira hayawezi kubadili tabia ya mtu??? kwako OLESAIDIMU Yegomasika .