Wanaume mnaibiwa wake zenu, hamjui tu

Wanaume mnaibiwa wake zenu, hamjui tu

Kuchapiwa ni hulka bana ni sawa na bata hata umpe kokoto ataharisha tu
 
Kama anakosa matumizi nyumbani sawa, kama inapita wiki hata bao 1 sijampiga sawa, kama sijamwoa sawa kama sijampa mtoto bado pia inaweza kuwa sawa kama atachepuka...

Ila hivyo vyote nimempa na anaendelea kuchepuka? Nop! Aendelee tuu... I need a good retirement and good life for my kids b4 they become independent!! So I will emphasize on hustles that fucking her.....

Let the blinds be blinds!!
 
Msiogope kufanya mambo ya maendeleo kwa sababu ya kuogopa kuchapiwa. Mwanamke unaweza kuwa nae 24/7, 365 days a year, lakini kama ana hulka ya kuchepuka huwezi mzuia. Mbona kuna wengi tu wanaojitambua!!!.


Safi sana mkaluka.

Ngedere ni ngedere, hawezi kubadilika akawa chura.....Ukihangaika na hiyo biashara utageuka mtumwa na kuubeba umasikini hadi kizazi chako cha 10!
 
sawa hulka ya mtu ndio chanzo lkn na ubize tuutizame kwa jicho la fundi saa japo hauepukiki siku hizi. mi nimemla mwl. wangu kwani kila siku ananilalamikia mume yuko bize balaa. mi nikajiongeza na kujiuliza lengo la mi kupewa malalamiko haya ni nini? basi nikaamua kumsaidia mwl. wangu. alifurahi sana na akili ilitulia akaendelea kutuchapa lecture otherwise hata kazi ingemshinda!
 
Kama ana hulka za kugongwa nje hata ukiacha kazi ukae nae nyumbani siku zote atato..mbwa tu......fanya kazi za maendeleo yeye akatafute watakaomkaza
 
sawa hulka ya mtu ndio chanzo lkn na ubize tuutizame kwa jicho la fundi saa japo hauepukiki siku hizi. mi nimemla mwl. wangu kwani kila siku ananilalamikia mume yuko bize balaa. mi nikajiongeza na kujiuliza lengo la mi kupewa malalamiko haya ni nini? basi nikaamua kumsaidia mwl. wangu. alifurahi sana na akili ilitulia akaendelea kutuchapa lecture otherwise hata kazi ingemshinda!

Wakati we uko busy na lecture, presentations, T/homes na sasa mwalimu mie napiga wako huku!!!
 
Hiyo ni addiction kama zilivyo addictions zingine. Mwanamke/mwanaume mwenye hulka ya kutoka nje ya mahusiano yake hata umfunge kengele atachapwa tu. Hiyo haina cha usomi wala nini.
 
Ukiishi kwa kuwaza kuchapiwa dunia ya leo hakika maisha yako ya mashakani! Amini hauchapiwi hadi siku utakapomfuma.
 
Maisha ya Sasa kuhusu kuchapiwa ni bora kujiandaa kisaikolojia tu!!

Ukiwa tajiri utachapiwa tu ,ukiwa maskini pia!!

Ukiwa na kibamia ndo kabisa, ukiwa na muhogo haina guarantee kuwa hutochapiwa.

Hawaeleweki binadamu!!
 
afu wanawake hawana kazi usipokuwa na maendeleo na vpesa vya kuwapa kelele
 
Ama kweli saa hizi imani imebaki kwa mtu husika tu ...na si mwingine.
 
Msiogope kufanya mambo ya maendeleo kwa sababu ya kuogopa kuchapiwa. Mwanamke unaweza kuwa nae 24/7, 365 days a year, lakini kama ana hulka ya kuchepuka huwezi mzuia. Mbona kuna wengi tu wanaojitambua!!!.

ni kweli kuna waschana wengine wanajitambua na kuheshim ndoa zao.
 
Back
Top Bottom