Wanaume mnaboa mnaomba sana pesa

Hahahaa anakusifia unaumbo namba name wakati unajijua ni namba tisa...

Hahaaa mi sitaki bhanaa!!
 
Linatamkwa shunie na e mwishoni Ngabu
 
demis nipo hapa pugu nimepungukiwa kilo 3.5 kwenye ushuru wa mifugo yangu pliz i beg you to rescue the situation
 
Heeee saivi hakuna mzuri wala mbaya wote tunaombwaa pesaaa wanaume mmekuwa ombaomba mxeeew

Heheheh wanaume wa Dar wanatuharibia sana siku hizi...Pole sana mkuu kutoa ni moyo sio utajiRi..

wewe umepewa pesa ngapi na wanaume..Gia imebadilika vumilia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…