Wanaume mna matatizo gani ?

Wanaume mna matatizo gani ?

Aisee. Sasa sijui niseme korja, fungu, dazen or whater but la matatizo kwa mtu mmoja still uko nae tena kwa ndoa. ivi mlifunga ndoa ya mkeka?

Ulitumia vipi shake before use?

Afu ukiona mtu analalamika sana nikwamba yeye mwenyewe anamatatizo tena ya kisaikolojia. kwa lugha nyepesi hilo ni gubu!

Nani kakudanganya ukipapamika sana ndio unatatua tatizo?

Shame on you. Huh!

kizazi cha nyoka wewe yaani unafanya mangono yako kabla ya kuoa sisi hatutaki hayo ndoa kwanza mapenzi yanafuata TUNAFUNGA NA KUOMBA KABLA YA KUOLEWA NA KUOA
 
hata dawa za kupunguza harufu na kubana k zinasoko kubwa sana siku hizi..... napita tu

k haiongezeki kama ilivyo uume baada ya miaka 20 hayo maungo hayaongezeki ila kwa sababu ya tamaa zenu na mazoea ya vijiweni mnadai k imekuwa kubwa
 
k haiongezeki kama ilivyo uume baada ya miaka 20 hayo maungo hayaongezeki ila kwa sababu ya tamaa zenu na mazoea ya vijiweni mnadai k imekuwa kubwa

kwani na we una k!?? kwa biology ndogo nliosoma mwanamke akijifungua na akabwetela bil kufanya mazoezi ile nyama ya k inaeza isijirudi yote na hivyo kuwa imepanuka.... usiombe ukakutana na wa hivi na kazaa watoto saba, utakimbia
 
hata sijui yuko pande gani kike au kiume.....sijui punga.....

Aisee hiri ri jamaa ni ridume na nimegundua hata harina mausiano na ushoga. rinachokifanya hapa ni kujifanya mwanakondoo huku rikipondea mamen wenzie iri tu ripendwe! Its just an old way of seduction! Iri ri jamaa harijuagi kutongoza.
 
Uzi uzi uzi Haya wacha niutazamempaka njue nani anaukata!:alien:
 
Back
Top Bottom