Kwa kuweka hiyo story humu umeshampeperusha ndege wako.
Anyway, huyo mpuuzi ni wakumpa za uso mbele ya wazazi na ndugu zake. Naomba uelewekuwa huyo shemeji yako hana sifa za mwanaume, anazo sifa za vivulana.
Cheka mwaya.."" nikicheka mimi naambiwa napnda kucheka...."" Cheka tani yako ..maana kuna mambo mengine badala ya kusikitisha yana chekesha mnoo aiseee