Wanaume mna kazi

Wanaume mna kazi

tukinao

Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
59
Reaction score
115
Jamani nimekaa hapa nimewaza wanaume shughuli mnayo. Unakuta mwanaume anamhitaji mwanamke fulani anafanya yafuatayo:-
1. Anamlipia Tax au Uber mpaka sehemu alipo.
2. Anamnunulia chakula na vinywaji.
3. Analipa chumba.
4. Wanapeana mdinyo.
5. Asubuhi mwanamke anakunywa soup na anatakiwa apewe hela na gharama ya usafiri kumrudisha alipotoka.

Wanaume mna kazi jamani khaaa bora mimi mwanamke.

Leo nimewaonea huruma wanaume maana kama vile yamenikuta.
 
aaahhh aaaahh unamuonea huruma jamaa yako eehh next time mwambie kuhusu bill utalipa mwenyewe...
 
Hiyo kazi haizidi kukazwa nafurahi kuumba kidume nakutekeleza majukumu. Wanawake kazi mnayo hayaa chupi chiniii chupi chiini kaulumbiu ya jamaa yangu
 
Mwanaume ameumbwa kuhudumia. Kwa hiyo hayo yote ni sehem ya majukumu yake.
 
Mtuache tu tuwahudumie ila mkae mkijua kuwa mna expire date so YOTE YANA MWISHO ikifika wakati mtakula kwa jasho lenu wala hakuna ujanja .

KWA SASA NYIE NI MAEMBE MABICHI ACHA TUWALE NA CHUMVI ILA MKIIVA TUTAWALA BILA CHUMVI!
 
Unawasilimua wana JF vile ulivyodinywa usiku kucha...

Wala siyo mateso, wanaume tumeumbwa kumiliki, wanawake mmeumbwa kumilikiwa...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom