Wacha weeeHaiwez kuvimba maana hiyo ndio kazi yake. Kama mtoto inatoa sembuse kichwa cha chini.
Yah kwenye jamii ambayo ina watu wenye fikra duni zilizopitwa na wakati, haya mambo yataendelea kuwepo na mwanamke ataendelea kuwa chombo cha starehe tu wala hawezi kupata heshima yoyote.Yapo mpaka kesho na keshokutwa
Nilikutana na baba yako ni Mario eeeh
Ndo maana mi huchukua dada poa mkikutana tu hakuna sijui chakula sijui nini, mnapanga bei mkikubaliana unapiga unasepa na hakuna kufuatiliana.... mfano huku kwetu 15,000 inatosha chumba na bao 2. tena unachagua demu mkali na hpo umelipa kipapaa
Ndo maana ukiendekeza kuchepuka maendeleo utayasikia tu kwa wengine, au utafanya chini ya kiwango, au utachelewa kuwa nayoDaaah kweli tunapata hasara kwa kweli
Kwa post hii nimeelewa kwanini umeanzisha na uzi kabisa!Kwani kudinywa usiku kucha ni ajabu. [HASHTAG]#stupidass[/HASHTAG]