Safi sana ndugu yangu
Mi nshawala mademu wengi tu wa humu JF.
Ukishawajulia wala hawasumbui kabisa.
Kwa hesabu ya haraka haraka nshakula kama 13 hivi tokea nijiunge mwaka 2006.
Ipo siku ntawaorodhesha kwa majina yao (ya humu JF) kabisa.
Stay tuned and don't change that dial.....
13 wachache sana. Mi ngoja nianze kukutajia nadhani wanagonga 22. NaimaOmari , WomanOfSubstance, Shy, Bint wa Kinyak
Wakati huo wakana masai dada wanasoma!!
Wakati huo wakana masai dada wanasoma!!
13 wachache sana. Mi ngoja nianze kukutajia nadhani wanagonga 22. NaimaOmari , WomanOfSubstance, Shy, Bint wa Kinyak
Hivyo vinuka mkojo. Sasahivi JF haina mademu wako vicheche tuu. Mpango mzima sasahivi ni mitandao ya eritrea na ethiopia habesha gals. Unawalipia airtickets na few days hotel za dar unakula kitu roho inapenda.
Uliwala au walikuwa mabestie??
Mi nshawala mademu wengi tu wa humu JF.
Ukishawajulia wala hawasumbui kabisa.
Kwa hesabu ya haraka haraka nshakula kama 13 hivi tokea nijiunge mwaka 2006.
Ipo siku ntawaorodhesha kwa majina yao (ya humu JF) kabisa.
Stay tuned and don't change that dial.....
Wacha wee!! 2015-2006= 9; miaka 9/wanawake 13= wanawake 0.6 kwa mwaka. Kawaida sana, ila hala hala......