ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,604
- 119,761
Niliwato Mpira British Airways
Hahaha...ngoja waje utakiona cha moto.
Niliwato Mpira British Airways
Una uhakika na hayo magazijuto ulofanya??teh!
teh teh...uhakika niutoe wapi mimi na hesabu kuku na mwewe. Ila hata nikigeuza 13/9 ni 1.4, nikigawa 9 kwa 13 ni 0.6. ukikaribisha mamoja yaliyo karibu utapata mmoja.
Nyani Ngabu , tulitisha sana enzi zile za miaka ya 2008 / 2009, enzi za kina Fidel80 na wengineo full kupokezana milupo ya JF. Nimekuja na ID mpya atleast nivipate hivi vidotcom vya 2013 wanione mpya mwenzao
Kama unamjua hadi Penny basi lazima utakuwa mkongwe wewe.
Ila nimefurahi sijamwona Cupcake wangu kwenye list yako:becky:.
Utamuonaje hapa.wakati anashinda nae PM?
Hongera!
Nitakutaja na wewe. Si unakumbuka siku ile?
We taja tu
Ngoja nilinde heshima yangu, si ulizidiwa? Yamekwisha maana ukimsikia mtu akitaja ya ndani ya nguo. ujue zimepungua. Zinaitwa private parts, hata kama majina yetu fake.
Mi nshawala mademu wengi tu wa humu JF.
Ukishawajulia wala hawasumbui kabisa.
Kwa hesabu ya haraka haraka nshakula kama 13 hivi tokea nijiunge mwaka 2006.
Ipo siku ntawaorodhesha kwa majina yao (ya humu JF) kabisa.
Stay tuned and don't change that dial.....
Sidhani kama huyu kikogwe naye anajua kuosha rungu, kama inavyotakiwa!!
Acheni uzushi....mbona humu kuna wanaosoma huku wanaperuzi mitandaoni?