We mshamba tu huna loloteJamani wanaume mnatakiwa kupewa maua yenu mnajitoaga sana baadhi yenu na mkiamua kujitoa mnajitoa mpaka familia zenu amuwasikilizi kisa mapenzi asanteni kwa upendo wenu
Una akili sana.Sawa
Haha huyu daktari gani anawapima wagonjwa halafu baadae anawalawiti kikatili
Hivi wewe si dume kweli? Hizi sredi zako sizielewielewi hivi. Ngoja Muha wangu Joannah akufuatilie, atatupa mrejeshoJamani wanaume mnatakiwa kupewa maua yenu mnajitoaga sana baadhi yenu na mkiamua kujitoa mnajitoa mpaka familia zenu amuwasikilizi kisa mapenzi asanteni kwa upendo wenu
🤣🤣🤣🤣Wanaume ni creature ya thanani sana. Mungu awatunze
Kuna mtu anajazwa? Ngoja ajae tuMambo hayo yote leo ijumaa, kuna mtu anaenda kuumia