Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Mmh hapana sanasana ni utani tuuKwann unanipa makavu kwenye comment zako
Sawa tu
Siwezi kukuchukia aisee
Mmh hapana sanasana ni utani tuuKwann unanipa makavu kwenye comment zako
Sawa tu
do not take it personalAisee utan wako mchungu
Hueleweki kama ilivyo K yenyewe.
Acha ubish ww ukikua utaelewaHuo pia ni mtizamo wako kwa mujibu wa imani yako na mazingira yanayokuzunguka
Wapeane moyo et ila kama kweli vileEti mwanaume kumuacha mwanamke ni sawa na simba kuacha kumla swala.
Hahahaha peaneni moyo tu.
well saidHuu ni mtazamo wako kwa utashi wako kwa jinsi ya mambo unavyoyaona kulingana na mazingira yaliyokuzunguka au matukio uliyokutana nayo.......
Ukweli unaweza kuwa mbali na unavyowaza au kufikiria......
Ukweli ni kwamba
Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana mbele ya mwanaume haijalishi status yake au jinsi yoyote alivyo lakini hayo yanawezekana kwa mwanaume anayejitambua na kutambua nini maana ya uanamume wake na una maana gani akiwa mbele ya mwanamke..........
Mwanaume anaweza kuwa na mwanamke yeyote lakini mwanamke hawezi kuwa na mwanaume yeyote anayemtaka.....
Ulimwengu wa sasa vijana wanasumbuliwa na wanawake kwa kuwa wao wenyewe wameshatoka nje ya mstari wa uanamume wao.......na wanawake wameshajua udhaifu huo ndio maana wanatamba.........
Mwanamke sio kiumbe kamili bali ni sehemu ya maumbile ya mwanaume....naturally mwanamke hawezi kukamilika bila ya mwanaume Kwani mwanaume ndiye anayekamilisha maumbile yake.........
Ukimjua mwanamke hakupi tabu ndio maana Wahenga waliweza kuishi vyema na wake wao mpaka uzeeni......