1. Tamaa zao.
Mwanamke yeyote anaweza kukutamani kimapenzi isipokuwa mama yako.
2. Hulka zao.
Wanawake wote huonesha upendo wao waziwazi isipokuwa wale waliotendwa kabla.
3. Kuachana.
Mwanaume kumuacha mwanamke anayempenda ni kama simba kuacha kula swala, mwanamke kumuacha mwanaume ni rahisi kama swala kumkimbia Simba mzee.
4. Tabia.
Jihadhari na maneno ya vijiweni kwamba wanawake wote wako sawa kitabia. No, lakini kumbuka hakuna mwanamke asie mwanamke.
5. Mpenzi wa zamani.
Kujaribu kumsahau mwanamke uliyewahi kumpenda ni kama kumkumbuka mtu usiyemjua. Ni ngumu
6. Kuoa.
Muhimu kuoa, na ni ngumu sana kumjua mke mwema kabla ya kuoa, ni waigizaji wazuri sana. Kumbuka maneno ya Albert. " muhimu kuoa, ukipata mke mwema utakuwa na furaha, ukipata mke mwovu utakuwa mwanafalsafa.
7. Usaliti.
Vizuri kujiandaa kisaikolojia kusalitiwa, la usipojiandaa ama waweza kuua mtu au hata kujiua. ukiua mtu maisha yako yatakosa furaha siku zote, ukijiua mwenyewe, hao waliokusaliti wanaweza kuishi kwa furaha zaidi ya ulivyokuwa hai.
8. Pesa na mapenzi.
Mapenzi bila pesa yanapatikana kwa wingi sana huko mbinguni, hapa duniani ni ngumu mno, lakini usihofu sana, kuna makubaliano bila pesa. Omba Mungu.
9. Uongo.
Wahenga walisema ukweli unauma na mimi nakuambia "uongo unaua"
10. Kumjua wanamke yahitaji muda wa kumchunguza sana.
Kutaka kumjua mwanamke unahitaji miaka mingi ya kuishi kuliko idadi ya nywele zao. Soma vitabu, makala, majarida, filamu, nyimbo na hotuba za wanaofundisha mandhari za wanawake. Kuna kanuni moja tu ya kupenda, " ili ubaki salama katika kupenda sharti ujipende kwanza".
Demiss (cha mdeko)
Apo nmekupata bila chenga mkuu thanksExactly mkuuu hapa dunian uongo mtupu
Yaan nyie kila siku mnawaza pesa za wanaume tu. Cha ajabu bado mnalilia haki sawa. Hiyo 50 kwa 50 sijui km itakuja kutimiaAsante na wewe piah
Na mwanafalsafa akawa mwenye furaha baada ya kuwepo sana na kupata Mke bora1. Tamaa zao.
Mwanamke yeyote anaweza kukutamani kimapenzi isipokuwa mama yako.
2. Hulka zao.
Wanawake wote huonesha upendo wao waziwazi isipokuwa wale waliotendwa kabla.
3. Kuachana.
Mwanaume kumuacha mwanamke anayempenda ni kama simba kuacha kula swala, mwanamke kumuacha mwanaume ni rahisi kama swala kumkimbia Simba mzee.
4. Tabia.
Jihadhari na maneno ya vijiweni kwamba wanawake wote wako sawa kitabia. No, lakini kumbuka hakuna mwanamke asie mwanamke.
5. Mpenzi wa zamani.
Kujaribu kumsahau mwanamke uliyewahi kumpenda ni kama kumkumbuka mtu usiyemjua. Ni ngumu
6. Kuoa.
Muhimu kuoa, na ni ngumu sana kumjua mke mwema kabla ya kuoa, ni waigizaji wazuri sana. Kumbuka maneno ya Albert. " muhimu kuoa, ukipata mke mwema utakuwa na furaha, ukipata mke mwovu utakuwa mwanafalsafa.
7. Usaliti.
Vizuri kujiandaa kisaikolojia kusalitiwa, la usipojiandaa ama waweza kuua mtu au hata kujiua. ukiua mtu maisha yako yatakosa furaha siku zote, ukijiua mwenyewe, hao waliokusaliti wanaweza kuishi kwa furaha zaidi ya ulivyokuwa hai.
8. Pesa na mapenzi.
Mapenzi bila pesa yanapatikana kwa wingi sana huko mbinguni, hapa duniani ni ngumu mno, lakini usihofu sana, kuna makubaliano bila pesa. Omba Mungu.
9. Uongo.
Wahenga walisema ukweli unauma na mimi nakuambia "uongo unaua"
10. Kumjua wanamke yahitaji muda wa kumchunguza sana.
Kutaka kumjua mwanamke unahitaji miaka mingi ya kuishi kuliko idadi ya nywele zao. Soma vitabu, makala, majarida, filamu, nyimbo na hotuba za wanaofundisha mandhari za wanawake. Kuna kanuni moja tu ya kupenda, " ili ubaki salama katika kupenda sharti ujipende kwanza".
Demiss (cha mdeko)
Your days are numbered siku ukinasa utatia huruma sana wapo waliokua na akili kuliko wewe wakanasa wakaishia kua wanafalsafaMi mwanamke nikishamkata hata niwe nampenda vipi kumuacha akizingua haichukui muda kwanza siwezagi kumkuza namuweka daraja la kati tu
hit and run
Mkuu kama una utalamu huu nielekezeMwanamme amloge mwanamke, ila hapo kuna vigezo na masharti. (1)hutakiwi kumloga mwanamke ambae huna mpango naye, wala hana manufaa kwako.(2) Mwanamke utakae mloga wakuu wakimila wathibitishe kuwa anafaa, na sio mzito kukuzidi wewe mwanaume. (3)awe nauwezo wakuku zalia watoto wengi...
Hiyo hata mimi nakataaNumber 3 hiyo ninapinga eti mwanaume ni vigumu kumuacha mwanamke anayempenda hapo sidhani
kumuacha unaempenda,,,hzo ni ishara za ukakamavu,,,,na sio wale wanaosema bila binti flan siwezi ishimwanaume anayeshindwa kumuacha anayempenda bado anahesabika ni mwanaume??