Wanaume lini mtajifunza??

Wanaume lini mtajifunza??

Mwanamke amekuacha kwasababu huna kitu, badala yakwenda kutafuta kazi we unaenda kutafuta mwanamke mwingine... What's wrong with u brother?

Eti huna, mwanaume unakosa ata pumbu huyo atakuwa shoga sasa!
 
Huwa kuna muda akili haitaki kuwaza chochote kabisaaa
Na ndiyo maana wengine huishia kufanya vitu vya ajabu mara kulewa hovyo badala ya kujitafakari mwishowe anaenda kupata gugu zaidi ya lile
 
Mwanamke amekuacha kwasababu huna kitu, badala yakwenda kutafuta kazi we unaenda kutafuta mwanamke mwingine... What's wrong with u brother?

Inategemeana na mazingira. Kuna ambao wanachukua muda mfupi kupata kazi, lakin wakikutana na mwanamke ambae si mvumiliv shida inakuwa kubwa.

Sometimes ni test tu, mwanaume si kwamba hana kazi bali anakujaribu kuona kama utakuwa wake ktk kipind kigumu.
Hapa wanawake wengi wanafeli.

So kama ulimuacha wkt kakosa kazi, au ktk hali fulani, yes lazima aku replace na mwingine coz kama ww umeshindwa kubaki nae, wapo wanaoweza kuvumilia mpaka akainuka tena.
 
Umeongea ukweli....ukiwa huna kitu mwanamke lazima akuache....maana hiyo ndio hulka ya mwanamke

Pesa ukose, hata ulimi laini nao ukose!??

Fact ni unless upo kwenye FORBES huko sisi wengine wote hatuna pesa.
 
Pesa ukose, hata ulimi laini nao ukose!??

Fact ni unless upo kwenye FORBES huko sisi wengine wote hatuna pesa.
Hilo neno unakuta kapuku kabisa lakini anamiliki kifaa mpaka mwenye nazo anaona wivu na mihela yake, kuachwa inategemea na.nyama ya ulimi
 
Kwaio unataka huyo mwanaume alioachwa awe anajichuwa sio? Je asipopata kazi mwaka mzima, si bora awe na papuchi ya uhakika
 
Pesa upatikanaji wake ni mgumu, mwanamke upatikanaji wake ni rahisi na kwa bahati mbaya mwanamke unaweza ukamuacha ila pesa hauwezi ukaiacha.
 
Mwanamke amekuacha kwasababu huna kitu, badala yakwenda kutafuta kazi we unaenda kutafuta mwanamke mwingine... What's wrong with u brother?

Sina kitu umeniacha...kwa hiyo unataka nikienda kutafuta nikipata ndo ujirudishe kwangu?

Hapana aiseee natafuta mwingine atakaenipenda na hali yangu ili hata nikipata nimuheshimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom