Kwanini wanaume wengi wa leo mnawakosea heshima wake zenu kwa kutembea na msaidizi wa ndani kwanini mnapokamatwa hamuombi msamaha ili yaishe?
Mnajua samahani ina nguvu kubwa sana katoka mahusiano mpaka nafikia hatua ya kuondoka huku kuna jamaa amenikela kweli tena jirani yangu maana amefumwa mchana kweupe na mkewe akifanya nae mapenzi msaidizi wa ndani tena ametoka kazini mapema kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya wakati hata mkewe hajamjulisha kama anarudi home na anajisikia vibaya.
Wote mnaotembea na wasaidizi naomba mtujuze maana nisije nikaingia kwenye ndoa nikaua mtu.
Mnajua samahani ina nguvu kubwa sana katoka mahusiano mpaka nafikia hatua ya kuondoka huku kuna jamaa amenikela kweli tena jirani yangu maana amefumwa mchana kweupe na mkewe akifanya nae mapenzi msaidizi wa ndani tena ametoka kazini mapema kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya wakati hata mkewe hajamjulisha kama anarudi home na anajisikia vibaya.
Wote mnaotembea na wasaidizi naomba mtujuze maana nisije nikaingia kwenye ndoa nikaua mtu.