Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Mie lazima alee asipokula nami sili hapo anapewa taarifa kama hali nami hiyo hela tukale hata kwa babanitile tusipike nyumbani

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Safi kabisa
 
Ndio utoe matumiz ili tusifatilie
Aaaah!!! Kwaio una hakika kwamba hatunywi chai kwenye manyumba zetu!?? Kazini unatakiwa uingie saa moja na robo, mke nae saa moja na roo, hiyo chai ya saa ngapi hapo home!!? Tunakunywaga weekend tu bhaaaaasi

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Mie usipokula kesho utashinda ndani nafunga mlangoni hutoki, kama umekula huko utaweka hata kwenye soksi zako

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Mie usipokula kesho utashinda ndani nafunga mlangoni hutoki, kama umekula huko utaweka hata kwenye soksi zako

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Hili nafikiri linategemea na utaratibu wa Nyumba.

Wengine saa 12 saa 1 upo nyumbani karibia kila siku. Wengine saa 3, 4. Sasa mtu amekuja saa 4 umlazimishe kula na wakati kashakula alipotoka kweli.
 
Ungemuuliza baba yako nyumbani akakujibu huko au yeye siyo mwanaume??..[emoji26][emoji26]
 
Hili nafikiri linategemea na utaratibu wa Nyumba.

Wengine saa 12 saa 1 upo nyumbani karibia kila siku. Wengine saa 3, 4. Sasa mtu amekuja saa 4 umlazimishe kula na wakati kashakula alipotoka kweli.
Marufuku kula nje mara nyingi kula nyumbani
 

Mkuu unayoyaongea yote haya ni kweli yanatokea kwenye familia nyingi sana.wakat mwingine sisi ndio chanzo au wakati mwingine ni wanaume.sina uzoefu sana ila nitajitahi kuchangia.

Marafiki zangu wengi sana ni wanaume sio wavulana hapa naimani umenielewa.nimekuwa nikiwauliza mara chache chache tunapokutana ni nini kinachwaboa mpka hawatulii nyumbni.huwa wanaongea vitu vinavyofana kila mmoja ninaekaa nae.

Anaanza na kutuponda sasa "hatukai nyumbn kwa kuwa mnakelele sana,mara housemaid kafanya hivi,mara hamjui kutupatia chakula tunachokipenda,ohooo hamko nadhifu,mara sijui nini"

Na mengine ni kuwa hawapendi kutoka na wake zao maana mda mwingi anautumia kununa,mara akipita msichana ukamwangalia kwa bahati mbaya imekuwa shida!nyumbani siku hiyo hakutakalika

Na pia hawapendi kutoka na wake zao kwa sababu unaeza ukakuta bei ya chakula hapo ni kubwa sasa shughuli ikija kwenye bill ikiwa kubwa eti madai yao tunaanza kulalamika wanatumia hela vibaya

Nyingine tena yani mambo ni mengi.eti kwa mfano mwanaume ni mpenzi wa movie akikaa kuangalia movie mkee anakuwa bubu au wakati mwingine anamtoa kwenye uwepo wa movie(hii ni kweli kabisa wengi wa wanawake tunahii kitu.yani unakuta kila kiungo kiko kinaangalia movie mtu anakujia mara ohoo vipi sasa ile ada ya mtoto!!jamni hii huwa inanikera hata mimi Chakorii)

Ya mwisho kwa leo ni kwamba....wakati mwingine wanataka kukutana na marafiki zao ili kubadilishana mawazo na kupeana michongo ya maisha.

************************************


Ngoja twende mbele turudi nyuma ni kweli kabisa wakati mwingine wanawake tunajisahau wakati mwingine jmni.huu ndio ukwel.

Lakini na ninyi wanaume si tuchuliane jmn mbna sote ni binadamu...hakuna mkamilifu wandg.tuchukuliane nawaomba.

Na sisi wanawake jamani tuwasome tu hawa wanaume wetu.jua ukimfanyia nini kwake ni udhaifu umemuwin.

Kama anapenda chakula kitamu mpikie,kama anapenda kilaji mnunulie (hapa inabidi umshtukize usimwambie kama utamnunulia kilaji maana anaweza kukupiga stop akasingizia hanywi kwa siku hiyo kumbe anataka akanywe huko bar kwenyewe.)

Tuwe tunadilikabadilika jamn.itatusaidia kuwa wapya kwa hiyo mijibaba.kama anakuhudumia vizur mamaaa hakuna namna inabidi ujitoe ufahamu kwa mumeo.

Na nyie wanaume sio mnapendwa huku halafu mnaenda kujitapa huko "mke wangu hapindui ananipenda mno"unaanza kumuumiza sasa..weee..

Mwanamke ukiwa mchakarikaji inaleta heshima ndani ya nyumba.hili ni muhimu.

[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6] nimekula nini leo mbn naandika sana hivi kha!

Kamchango kangu hakooo...kama kunaambae atakwazika na hii comment yangu,tusameheane tu hakuna namna.



Wanawake tupunguze midomo.
 
Hata wenyewe kama wanatabià hiyo waache, mtoa mada hajamaanisha wote

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Chakula bora cha mtoto ni matunda, maharage, dagaa na mchicha.
Haa[emoji39] [emoji39] [emoji39] sasa huyo mtoto wa kiume atakomaa vipi asipokula mchangayiko wa vyakula [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni shida sasa kama mie nipendavyo vyuku tena sio vile vya two weeks no nataka wakienyeji kama ndiyo nanihii wangu si ungenitesa na michicha ya mto msimbazi

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Hili nafikiri linategemea na utaratibu wa Nyumba.

Wengine saa 12 saa 1 upo nyumbani karibia kila siku. Wengine saa 3, 4. Sasa mtu amekuja saa 4 umlazimishe kula na wakati kashakula alipotoka kweli.
Ofisi gani saa4

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Ujue kweli .mm kuna sehem huwa tunakula mchana nawafanyakazi wenzangu ..kila siku tunakula ugali nakuku wakurost tena wakienyeji sasa kuna siku tukauliza jamani huko majumbani wanatoto wanakula waha kuku wakienyeji? Tulikosa jibu tukaishia kuchekatu.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…