Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,593
- 17,552
Wrong postSimu yangu ikijaa namwaga then nakinga upyaaaaa
Sorry I'm kidding
Wrong postSimu yangu ikijaa namwaga then nakinga upyaaaaa
Sorry I'm kidding
Mdogo sana huyuu kiumrii na anajicfu vile anajua kutia nayee atajiona mkubwa. 2009 mie nshaabza jula mshahara mwaka wa 4 naelekea wa5. 2005 mi kachuoo kwishaaa2009 form one[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
wanawake wa dar hatariJoto lote hili naanzaje kujibana bana
Hapo nakuunga mkono mzee km hujavaa pupi unaweza usiinuke kwenye meeting faster hsa ukutane na challenge za vimin thn full kukunja nne,utajuta kwa nn hujavaa pupi kitu kinavimbia chini ya zp halooWasiovaaa chupi wengi ni vibamia.....
Hivi Mimi kwa kwa lungu hili nililonalo nisivae chupi aisee mbona nitaadhilika na Tz hii kulivyo na watoto warembo walioumbika si balaaa tupu uko njia
kwel shosti.Mwanaume anaye vaa chupi anakata stimu aiseeh
Kwa mtoto wa kiume chupi mwisho darasa la7Siku za karibuni imekuwa ni kawaida sana kina dada kutovaa chupi kwa sababu mbalimbali.
Kwa wanaume kuna faida sana kutovaa chupi kuliko kuvaa chupi.
Chupi hubana via vya uzazi na kusababisha mkandamizo wa sehemu hizo muhimu na kusababisha joto kali. Kuwepo kwa joto kwenye anga hizo hupelekea tatizo la Low sperm count. Ukiwa na tatizo hili kwako kupata mtoto itakuwa ni ndoto.
Usipovaa chupi, viungo vinapata hewa ya kutosha na kukupa burudani.
Chupi ninazoongelea ni zile ambazo sio boxer au bukta.
sasa hv ndo akula boom la 3Mdogo sana huyuu kiumrii na anajicfu vile anajua kutia nayee atajiona mkubwa. 2009 mie nshaabza jula mshahara mwaka wa 4 naelekea wa5. 2005 mi kachuoo kwishaaa
Aisee kweli JF inakutanisha watu, 2009 upo kidato cha kwanza?Nimestaafu kuvaa hyo kitu tangu 2009 nikiwa form one ahhhaaaa chupi jauuu
Really?Wrong post
huyo ntu nzima wake ni njaluo nini....hahaNgoja mtu mzima abanwe na fraiz
Fafanua japo kidogo angelitaMwanaume anaye vaa chupi anakata stimu aiseeh
Joto Kali Dada.... Hamna kuvaa kyupi mjini inasababisha michubuko....haaaa ngoja waje watuambie
nilifikir hamvai kabisa nikashangaa kwelikweli
Bujibuji katika ubora wako. Ngoja nianze kujifunza ili niwaambie na ndugu zangu.