Lady.A
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 392
- 191
Habari zenu wana mmu,
Napenda kushare nanyi juu ya hii tabia ya hawa wanaume kupenda wanawake wenye pesa (uwezo) kila siku tumezoea kuona/kusikia malalamiko wanaume wakilalamika juu ya wanawake kupenda sana pesa, sasa kinachonishangaza ni kwamba kibao siku hizi.
kimegeuka, utakuta mwanaume mnafahamiana vizuri na mnaendelea kuwasiliana vizuri, baada ya muda utakuta anaanza kukutumia sms za kukuelezea shida zake zinazohusiana na pesa, au kukutaka umtumie japo vocha, wengine wakidai watarudisha
Wengine wanaomba msaada kinachoniboa Zaidi ni kwamba mimi huwa sina tabia ya kuomba pesa hata kwa mpenzi wangu, kwa nini hawa wanaume wanakuwa wepesi kuomba kiasi hiki? au ndo nyakati zimebadilika? mjirekebishe!!!!!!!
Napenda kushare nanyi juu ya hii tabia ya hawa wanaume kupenda wanawake wenye pesa (uwezo) kila siku tumezoea kuona/kusikia malalamiko wanaume wakilalamika juu ya wanawake kupenda sana pesa, sasa kinachonishangaza ni kwamba kibao siku hizi.
kimegeuka, utakuta mwanaume mnafahamiana vizuri na mnaendelea kuwasiliana vizuri, baada ya muda utakuta anaanza kukutumia sms za kukuelezea shida zake zinazohusiana na pesa, au kukutaka umtumie japo vocha, wengine wakidai watarudisha
Wengine wanaomba msaada kinachoniboa Zaidi ni kwamba mimi huwa sina tabia ya kuomba pesa hata kwa mpenzi wangu, kwa nini hawa wanaume wanakuwa wepesi kuomba kiasi hiki? au ndo nyakati zimebadilika? mjirekebishe!!!!!!!