bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Binafsi nikiwa nyumbani kwangu(hasa wakati wa weekend) huwa kuna wakati napika(mimi ni mpishi mzuri sana) na mama watoto hufurahi sana anapokula chakula nilichokiandaa mimi,hata mtoto wangu hufurahi sana anapokula chakula nilichokiandaa na hupenda kila wakati niwe naandaa(napika chakula)..so sioni tatizo lolote la mwanaume kupika chakula...Kwa wanandoa(au wapenzi) wenye mapenzi ya kweli kusaidiana kupika si kitu cha ajabu na wala si limbwata...ni zaidi ya mapenzi....Kama kweli unampenda utamlinda(na kumpikia mara moja moja)...hahaaaaaa
and I will always love you B....!!!!