Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Embu tuabarishane jamani
nimeenda kwa shoga yangu nikiwa na rafiki yangu mmoja
aakashangaa gafula binti yuko sebulen akasiki sauti
shemeji umekuja karibu yakhe...leo nimeingia mwenyewe
kwenye mtalimbo!!!watu wakacheka wenye kuhisi mtalimbo mwingine
gafra tukaingia tukakuta mwanaume anausukuma ugali kana ana akili nzuri jamani kuna watu wana bahati nyie..kurudi sebulen mwana ume yule akatenga chakula amemaliza tukaagana njian best anauliza hivi rafiki yako kalipata wapi lile shamba wallahi....
Nikasema kweli wengine tunawatafuta wengine wanaikimbia
nkasea jamani labda sijui kwangu nikaona normal...ila mwanaume kupika ushamba???
nimeenda kwa shoga yangu nikiwa na rafiki yangu mmoja
aakashangaa gafula binti yuko sebulen akasiki sauti
shemeji umekuja karibu yakhe...leo nimeingia mwenyewe
kwenye mtalimbo!!!watu wakacheka wenye kuhisi mtalimbo mwingine
gafra tukaingia tukakuta mwanaume anausukuma ugali kana ana akili nzuri jamani kuna watu wana bahati nyie..kurudi sebulen mwana ume yule akatenga chakula amemaliza tukaagana njian best anauliza hivi rafiki yako kalipata wapi lile shamba wallahi....
Nikasema kweli wengine tunawatafuta wengine wanaikimbia
nkasea jamani labda sijui kwangu nikaona normal...ila mwanaume kupika ushamba???