kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 718
habari zenu wadau wa JF: sijui mimi ndo nimepitwa na wakati au ni vipi, yaani sielewi inakuwaje mwanaume rijali ( sio shoga) anapaka poda, anachonga nyusi (naskia wanawake wanaita kutinda nyusi) na kama haitoshi anaweka waves kichwani na kupaka mafuta na marashi ya wanawake? Yaani koro koro zote kwenye dressing table anashare sambamba na mkewe! Hii ni sawa kweli? Sijui mnaonaje wadau!