Wanaume komeni kututisha

Wanaume komeni kututisha

Hahaha loh roho mbaya,naonaga hvo vyeo bt sielewagi em nieleweshe

Hahahahah, sinaga roho mbaya hata kidogo. Binafsi sijui vizuri, nachonaga ukijiunga unakuwa member, senior member, JF expert member and finally gold member, Kutoka member hadi JF expert unapanda kwa kupost lakini kufikia gold au bronze member kuna kulipa nadhani. Wanaojua watanisaidia pia, sina hakika na vyeo vya humu saaaana.
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
Una miaka mingapi? Ukifikisha 35 utaelewa jinsi ya kujirekebisha hayo matatizo madogo madogo unayolalamikiwa....
 
.. punguza jazba kwanza.. then elewa kua mwanaume ndo muoaji ... ukiwa na jazba ukaleta jeur na kiburi at the end of the moment utakosa mume ... marital status yako haitobadilika mpk utajuta ... so you should be careful men always will be men ... Ndivyo ilivyo ...
 
watajifanya hawaelewi ila wanaotisha, wanaotishwa wamesikia wamekuelewa wataamua wabadilike au wawe hivyohivyo
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
Una miaka mingapi?Ngoja ukifika 33 hivi ndipo utakapojua ulichokiandika hapa.
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
Mkuu sasa nimeanza kuelewa kwani ungalic"single" hadi sasa!!!!
 
Hahahahah, sinaga roho mbaya hata kidogo. Binafsi sijui vizuri, nachonaga ukijiunga unakuwa member, senior member, JF expert member and finally gold member, Kutoka member hadi JF expert unapanda kwa kupost lakini kufikia gold au bronze member kuna kulipa nadhani. Wanaojua watanisaidia pia, sina hakika na vyeo vya humu saaaana.
Sawa sasa sjui ikawajee nikawa senior kwa siku moja lol
 
Ndoa kwenu tuzo ndio maana mnaliaga machoz ya furaha Kama kasa anataga mayai ufukweni.
 
Wakuu..
Huyu atakua ni Monika kama sio Yudia..
Anastress za Dany..
 
Mtoa mada naona anajitekenya mwenyewe anacheka, mara ya mwisho nimecheki kila mwanamke niliyewahi kuwa nae au niliyemtongoza aliniuliza swali hili UNAMPANGO GANI NA MIMI mwenye kuelewa atakuwa ameelewa na mwenye kubisha abishe tuu maana hakuna namna.
 
Pole kwa kukojikosesha ndoa. Siku nyingine kuwa makini.

Vitisho lazima viwepo, wewe ushaambia utaolewa,lakini bado unachepuka, utatishwa tu.maana hakuna namna.
 
Back
Top Bottom