Hahahahaha atakuwa ni yeye. Na ukiangalia jamaa alisema alikuwa na mipango naye mingi tu.Mtoa mada ni wewe ulimpiga yule jamaa 40,000/= akaja kusema umejiharibia?
Hahahahaha atakuwa ni yeye. Na ukiangalia jamaa alisema alikuwa na mipango naye mingi tu.Mtoa mada ni wewe ulimpiga yule jamaa 40,000/= akaja kusema umejiharibia?
Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.
Sasa ndo nimeiaghilisha mazima na sikuoi kweli. sasa ivi sikutishi maana kwa hii kasi uliyoanza nayo unaweza kunipanda kichwani tukiwa kwenye ndoa.Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?
Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?
Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.
Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.
Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.
Habari ndo hiyo.
Ulikuwa wapi siku zote? Wangekwisha jirekebisha hao hahahahahaaa mbavu sinaWalaaa nawapa za uso wanaume wame kuaa too much kila thread nilikua na nia nae kaji haribiaa
Yaaani we achaayaani hili limekukwaza hadi umeamua kuwa member utoe ya moyoni....
Umeona eenhWaambie habari ndo hiyo
hahahahaha usilo lijuaa, mm mna niudhi kuji fnya muna tusaidiaa sanaa kutu oa wakati hata nyinyi muna shida ya kuoa. Ngoma drooembu jioe mwenyewe uone kama mwanaume hakusaidii akikuoa... unajidai hutishiki wakati we ndo nambari moja leo kesho unaomba uolewe.... na wasiwasi unamizinga sana ndo maana unakimbiwa....