Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
kwa staili hiyo ndoa utaisikia kwenye chereko tuu
Nafurah kukuona leo odhiambo mwenzangu.Huyu kavurugwa sio bure mpaka anatumia lugha ya kwao. Pole sana
heee umejiunga leo tu umeingia na moto hivyo?! ............. halafu umeandika kimakonde, unafikiri wote humu ni wamakonde.
ni senior member wala sio mgeni mbona!!!!!!Naona umeingia jf na moto. Karibu mgeni
hhahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahKuna lililomkuta huko sio bure
Ha ha haa, lakin simfano wa mwanaume but original taste utabaki kuiitamani hata kama utatumia hizo mambo!Kitu kimeiwaingia swaafi sana naona mmeshindwa kuvumilia tokweni povu ila ukweli ndio huo,kwanza na mlivyo wachache nguvu zenyewe za soda,nyie kwa nyie mnatamaniana,tutanunua dildo halaf na sie tutajimalizia shida zetu wenyewe alaaaaa
watuache dido zinashuka bei kila sikuKitu kimeiwaingia swaafi sana naona mmeshindwa kuvumilia tokweni povu ila ukweli ndio huo,kwanza na mlivyo wachache nguvu zenyewe za soda,nyie kwa nyie mnatamaniana,tutanunua dildo halaf na sie tutajimalizia shida zetu wenyewe alaaaaa
hawataki kuombwa hela ,.. achana nae kwani lazima bwana
haaa nyinyi mkiombwa hela mnatoa.. miss chagga acha hizo banaShosti..zikifika bei nzuri nishtue.watuache dido zinashuka bei kila siku
nitakushutua mamyShosti..zikifika bei nzuri nishtue.
mwanume unaniombaje pesa mimi ?huo ni umario![]()
haaa nyinyi mkiombwa hela mnatoa.. miss chagga acha hizo bana
Nature ilitufanya tuwe hivyo na ninyi toka enz kuto kujua haki zenu basi tulikua tunatamba balaa. Ila baada ya gender and dvt, women and dvt wanawake siku hiz mmekua tatizo inanonekana nikama mnalipiza kisasi. Kumiliki mwanamke mmoja siku hz ni bora kumi enzi za babu zetu maana hamskii zaman mwanaume akikosea badala ya kuomba msamaha yeye ndio anaombwa msamaha siku hiz duuJiwe jeus una mambo. Sie hatutak mashndano and mie naamini ktk bible kwamba mwanaume n kichwa but nyie mwataka kujifanya wajanja zaidi.
Mkiambiwa ukweli mnapanic.

Ha ha haa mbona wenzenu wa magharibi wanatoa nakusimamia out sana tu!mwanume unaniombaje pesa mimi ?huo ni umario
Uonevu sana. Ningepewa talaka hata kabla ya mume wangu kunifunua.Nature ilitufanya tuwe hivyo na ninyi toka enz kuto kujua haki zenu basi tulikua tunatamba balaa. Ila baada ya gender and dvt, women and dvt wanawake siku hiz mmekua tatizo inanonekana nikama mnalipiza kisasi. Kumiliki mwanamke mmoja siku hz ni bora kumi enzi za babu zetu maana hamskii zaman mwanaume akikosea badala ya kuomba msamaha yeye ndio anaombwa msamaha siku hiz duu![]()
Huyu ni mzoefu sema amejitoa ufahamu ili asijulikaneNaona umeingia jf na moto. Karibu mgeni