Wanaume komeni kututisha

Wanaume komeni kututisha

Mwanaume katika ID ya kike huku akiongea shombo juu ya wanaume wenzie.. Jf bhana
 
why uwe stressed na mahusiano wakati ni kitu cha kawaida tu ? tatizo watu mnapenda kuishi imaginary life matokeo yake maigizo kibao utavuruga na kuvurugwa tu.
ndoa ni uhusiano kama uhusiano mwingine ila una taratibu na miiko yake
True lkn wanaume wengn wana jifanya kama wana tusaidia sana kutuoa wakati ndoa ni contract of two people, kwa maana hyo hata sisi wanawake tuna option ya kuchagua wanaume.sio nyinyi mjifanye ndo mnatu okoa kwa kutu oa
 
ila kuna watu humu ni bendera fuata upepo sana. yani wa kwanza kasema mgeni basi comment kama kumi za mwanzo ni ugeni tu. si lazima kila thread uchangia jaman..

Narudi kwako mleta mada, ukizingua lazima uachwe tena siyo kutishiwa labda umtembelee mwenzako kwa magoti (rejea hesabu za sensa)

ukiona ye anazingua nawe tembea tu kama vipi. Hapa kila mtu anaangalia maslahi yake, hii ishakuwa biashara siku hizi hakuna kuvumilia hasara.

Safi sana,
Agiza Kongoro nitalipa.:-D
 
Mwanamke unafoka hivi aisee wewe lazima uachwe tu hakuna namna
 
Axante nadhan umo kwa wanaounga mkono wanawake na wanaume haki sawa,haya andaa mahali ukaoeeee
 
Back
Top Bottom