Ndo manakee tusikubali watu jenge ki saikolojiaa kua sisi ndo wahitaji saaaaana was hizo ndoaa halfu sasa iki vunjikaa mwanamke ana laumiwaaBora hata umesema. Kuna watu dunian wanajiona perfect na wengne wakosaji. Akina kaka, by ur information, hutapata mwanamke mkamilifu kila idara.
Mahusiano Ni uvumiliv, hara hvo, upendo hauhesabu mabaya.
Hapo tu ndipo wanaume mwaniacha hoi,,, ukifanya mapenz na mwanamke ukabaki salama eti umemtafuna. Akikuachia uwaya unaanza kujiliza eti mwanamke yule mbaya. Jaman, know that uasherat na uzinzi c kwa mwanamke tu, Ni kwa wote.Wanaume tupo wachache tena tulio kamilika, inabidi muwe nanidhamu mtaolewa mkileta za kuleta mtatafunwa nakuachwa daily.
Umeshika vifua vya wanawake wangapi had sasa kwa upande wako???na ukweli ni kwamba wanaume weng tunahitaji wanawake wa kuwaoa bt kibaya ni kwamba wanawake wa karne hyo ulioitaja mmeshazoea kushkwa shikwa vifua, so kwenu ndo ni nothing. polen
Yaaani you took words out of my mouth hvi hawajui kua na sisi raha tunasikia eenhHapo tu ndipo wanaume mwaniacha hoi,,, ukifanya mapenz na mwanamke ukabaki salama eti umemtafuna. Akikuachia uwaya unaanza kujiliza eti mwanamke yule mbaya. Jaman, know that uasherat na uzinzi c kwa mwanamke tu, Ni kwa wote.
Halafu, muwe mnasema " tumetafunana" sio umemtafuna!!!!!!!!
HahahaH
Yaaani you took words out of my mouth hvi hawajui kua na sisi raha tunasikia eenh
Utaskiaa nime mtafunaa yule demu ,chizi wewe mume tafunana na helaa ume MPA nani ka hasarika hapo?
sizani kama idadi yake itahtajika sana kwenye akili yako na ikawa applied! sidhani!Umeshika vifua vya wanawake wangapi had sasa kwa upande wako???
Hapo tu ndipo wanaume mwaniacha hoi,,, ukifanya mapenz na mwanamke ukabaki salama eti umemtafuna. Akikuachia uwaya unaanza kujiliza eti mwanamke yule mbaya. Jaman, know that uasherat na uzinzi c kwa mwanamke tu, Ni kwa wote.
Halafu, muwe mnasema " tumetafunana" sio umemtafuna!!!!!!!!
Hapo mmesema ukweli!H
Yaaani you took words out of my mouth hvi hawajui kua na sisi raha tunasikia eenh
Utaskiaa nime mtafunaa yule demu ,chizi wewe mume tafunana na helaa ume MPA nani ka hasarika hapo?
Hasira hasara.Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?
Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?
Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.
Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.
Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.
Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.
Habari ndo hiyo.
Hata mie nahc, au yaweza asiwe yeye but imemuudhi sana. Kiukwel hata mie yule jamaa kani bore.
Kuna kaukweli. Ingawaje inaonekana kama umevurugwa vile.Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?
Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?
Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.
Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.
Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.
Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.
Habari ndo hiyo.
U said, tatzo dadaz Wa miaka hi I wameshikwa shikwa sana vifua. Nilikuuliza idadi ili nijue wewe umeshashika vifua vya wake za watu wangap Wa badae and yet nyie mnataka ambao hawashikwi.... Uwiiiii. Kweli mkuki kwa nguruwe......sizani kama idadi yake itahtajika sana kwenye akili yako na ikawa applied! sidhani!