Wanaume komeni kututisha

Wanaume komeni kututisha

why uwe stressed na mahusiano wakati ni kitu cha kawaida tu ? tatizo watu mnapenda kuishi imaginary life matokeo yake maigizo kibao utavuruga na kuvurugwa tu.
ndoa ni uhusiano kama uhusiano mwingine ila una taratibu na miiko yake
 
Bora hata umesema. Kuna watu dunian wanajiona perfect na wengne wakosaji. Akina kaka, by ur information, hutapata mwanamke mkamilifu kila idara.
Mahusiano Ni uvumiliv, hara hvo, upendo hauhesabu mabaya.
Ndo manakee tusikubali watu jenge ki saikolojiaa kua sisi ndo wahitaji saaaaana was hizo ndoaa halfu sasa iki vunjikaa mwanamke ana laumiwaa

mwaka huu tuta wa nyooshaaa
 
na ukweli ni kwamba wanaume weng tunahitaji wanawake wa kuwaoa bt kibaya ni kwamba wanawake wa karne hyo ulioitaja mmeshazoea kushkwa shikwa vifua, so kwenu ndo ni nothing. polen
 
Wanaume tupo wachache tena tulio kamilika, inabidi muwe nanidhamu mtaolewa mkileta za kuleta mtatafunwa nakuachwa daily.
Hapo tu ndipo wanaume mwaniacha hoi,,, ukifanya mapenz na mwanamke ukabaki salama eti umemtafuna. Akikuachia uwaya unaanza kujiliza eti mwanamke yule mbaya. Jaman, know that uasherat na uzinzi c kwa mwanamke tu, Ni kwa wote.

Halafu, muwe mnasema " tumetafunana" sio umemtafuna!!!!!!!!
 
na ukweli ni kwamba wanaume weng tunahitaji wanawake wa kuwaoa bt kibaya ni kwamba wanawake wa karne hyo ulioitaja mmeshazoea kushkwa shikwa vifua, so kwenu ndo ni nothing. polen
Umeshika vifua vya wanawake wangapi had sasa kwa upande wako???
 
H
Hapo tu ndipo wanaume mwaniacha hoi,,, ukifanya mapenz na mwanamke ukabaki salama eti umemtafuna. Akikuachia uwaya unaanza kujiliza eti mwanamke yule mbaya. Jaman, know that uasherat na uzinzi c kwa mwanamke tu, Ni kwa wote.

Halafu, muwe mnasema " tumetafunana" sio umemtafuna!!!!!!!!
Yaaani you took words out of my mouth hvi hawajui kua na sisi raha tunasikia eenh
Utaskiaa nime mtafunaa yule demu ,chizi wewe mume tafunana na helaa ume MPA nani ka hasarika hapo?
 
Eve aliambiwa na Mungu bustanini " utazaa kwa uchungu na tamaa yako itakuwa kwa mume wako"
Only what women can do is just pretending, but they most need men than men do to women. Ndo maana mwanaume anaweza akaondoka hom akakaa mwaka bila mawasiliano na kujua yuko wapi lakn anaweza kurudi na akapokelewa na akaendelea na mke wake, sasa wewe wakike jaribu kuondoka wiki kwako bila taarifa uone!
 
Hapo tu ndipo wanaume mwaniacha hoi,,, ukifanya mapenz na mwanamke ukabaki salama eti umemtafuna. Akikuachia uwaya unaanza kujiliza eti mwanamke yule mbaya. Jaman, know that uasherat na uzinzi c kwa mwanamke tu, Ni kwa wote.

Halafu, muwe mnasema " tumetafunana" sio umemtafuna!!!!!!!!

H

Yaaani you took words out of my mouth hvi hawajui kua na sisi raha tunasikia eenh
Utaskiaa nime mtafunaa yule demu ,chizi wewe mume tafunana na helaa ume MPA nani ka hasarika hapo?
Hapo mmesema ukweli!
Ila ikifikia kwenye ndoa, wanawake ni wahitaji zaidi na hamtakubali maana u are always pretenders hata kutafunana kinachofanya muonekane mmetafunwa ni; kupretend unaumia wakat unaskia raha, kusema kwa mdomo kwamba hutaki kwenda chumban wakati unatembea mwenyw bila kuvutwa, kulala tu alf mwenzako ndo afanye kazi, kupretend orgasm wakati mwenzako kapata la ukweli ukweli n.k ."Women are pretenders in nature"
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
Hasira hasara.
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
Kuna kaukweli. Ingawaje inaonekana kama umevurugwa vile.
 
sizani kama idadi yake itahtajika sana kwenye akili yako na ikawa applied! sidhani!
U said, tatzo dadaz Wa miaka hi I wameshikwa shikwa sana vifua. Nilikuuliza idadi ili nijue wewe umeshashika vifua vya wake za watu wangap Wa badae and yet nyie mnataka ambao hawashikwi.... Uwiiiii. Kweli mkuki kwa nguruwe......
 
Back
Top Bottom