Wanaume komeni kututisha

Wanaume komeni kututisha

Wanaume tupo wachache tena tulio kamilika, inabidi muwe nanidhamu mtaolewa mkileta za kuleta mtatafunwa nakuachwa daily.
 
Nilikua na nia na wewe uwe waifu, ila kwa siredi hii umejiharibia.
 
Hautishwi ila ndivyo ilivyo, mume atakuoa wewe, nawe utaolewa na mume, sasa asipotaka mume utaolewa na nani? Utakua umejiharibia kwakua bado unasubiri kuolewa kwa hamu Kubwa. Sasa kwa jeuri uliyonayo subiri saaana kuolewa. Mume ni mume nawe utabaki Kuwa mke.
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
mkuu ungemwambia muhusika mwenyewe ingekuwa poa zaidi
 
M
Hautishwi ila ndivyo ilivyo, mume atakuoa wewe, nawe utaolewa na mume, sasa asipotaka mume utaolewa na nani? Utakua umejiharibia kwakua bado unasubiri kuolewa kwa hamu Kubwa. Sasa kwa jeuri uliyonayo subiri saaana kuolewa. Mume ni mume nawe utabaki Kuwa mke.
Ndo hapo munapo nichosha, why you guys acts like ur doing us a favor? Ndoa ni makubaliano ya wawili, ss ww una hashuka ooh kaji haribiaa utajuaje kama na yy alikua ana kuchora tu na yuko na ww kwa sababu?
 
Hii women empowerment hii
2069fdfa1101c16856a4bc36312d3413.jpg
Women empowerment ni hii hapa mkuu, hayo mengine ni mkwara tu!
 
Bora hata umesema. Kuna watu dunian wanajiona perfect na wengne wakosaji. Akina kaka, by ur information, hutapata mwanamke mkamilifu kila idara.
Mahusiano Ni uvumiliv, hara hvo, upendo hauhesabu mabaya.
 
Mtoa mada ni wewe ulimpiga yule jamaa 40,000/= akaja kusema umejiharibia?
Hata mie nahc, au yaweza asiwe yeye but imemuudhi sana. Kiukwel hata mie yule jamaa kani bore.
 
Back
Top Bottom