Wanaume kama hawa

Wanaume kama hawa

Yaani mimi nihangaike kutafuta pesa, nikupe tena unaniringishia! Kaa nacho tu kwakweli siku ukinipa nitakupa! Hakuna kuhonga siku hizi! Kazi kwa malipo nipe nikupe
 
Kuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri

Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi

Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi

Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy

Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?

Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
Kwani hicho unachonipa kinanisaidia kutafuta pesa?
 
Mwanaume hufanya mapenzi kwa ajili ya leasure na sio love lakini mwanamke hupenda sex for love not leasure iko ivyo psychological usiniulize kwanini.
Nb. Madada poa hawapendi wanachokifanya but ni Shida za kimaisha.kwa kina zaidi Fanya research ndogo utapata jawabu.
 
Mwanaume hufanya mapenzi kwa ajili ya leasure na sio love lakini mwanamke hupenda sex for love not leasure iko ivyo psychological usiniulize kwanini.
Nb. Madada poa hawapendi wanachokifanya but ni Shida za kimaisha.kwa kina zaidi Fanya research ndogo utapata jawabu.
Reserch yako ilihusisha madada poa wangapi?
 
kutwa unaomba pesa ya saloon na ped unashindwa kuomba pesa ya mtaji... nikupe pesa za saloon upendeze then hakuna unachoingiza chenye faida kazi ni kutupia vipicha insta, tsap na snap......
Ok bodi ya mikopo imefungua dirisha.
 
Back
Top Bottom