inategemea maana huoni kuna wengine humu ndani wanalalamika wamebigwa vizinga hadi wanataka kwenda mahakamaniKuna wanaume wengine,wana tabia mbaya sana,sio nzuri
Unakuwa nae kwenye mahusiano vizuri tu lakini umuombapo kitu labda hela kwa ajili ya matumizi,....hawezi kukupa hela inayoeleweka....,au hawezi kukuletea zawadi
Hasa kama mna mwezi hamjafanya mapenzi
Mwanaume eti anakupa hela inayoeleweka baada ya kumaliza kufanya mapenzi,au atakuletea zawadi muda huo anataka mfanye mapenzi
Ukipokea zawadi na bila kufanya...anakuwa hayupo happy
Wanaume hivi ukimaliza kufanya mapenzi....ndo unajua umuhimu wa mpenzi wako?
Kwa nini usimuhudumie mpenzi wako kwa asilimia mia hata kama hamjafanya mapenzi ndani ya mwezi mmoja?
Napita tu...Umeandika kwa uchungu sana
Pole mwaya.
KaribuNapita tu...
Na wwe kwa kutoa pole unaongoza humu!Umeandika kwa uchungu sana
Pole mwaya.
Utaachwa....coz na mie huyu niliye nae ana tabia kama zako
MwenyeweHalafu wanadai hela nyingi ambazo baba zao kule vijijini wanakaa mpaka mwezi hawana uwezo wa kuzishika....pumbafuuuuuu! Upewe hela mtu mwenyewe umetumika yamebaki makapi tu! Nyambafuuuuuuu! Unapenda pesa wakati kwenu mkijikuna mnatoka unga wa bada! Paaaambavu!
Unapomuacha mpenzi mmoja na kwenda kwa mwingine ujue unakaribia kufa ....