Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

Wanawake tunapotoka sana, kuna mambo ya kusimuliana lakini si ya chumbani yaani unamsimulia rafiki yako ili iweje sasa?
 
Njia ulizopita ww ndio zina sadifu uliyo yaona ..jarbu kubadili njia afu ulete feedback
 
d2ba629b6fdc3bfeb717f35549dcf533.jpg
 
Nakumbuka nilifundishwa kukisa na girlfriend wangu mzungu.
Tulikuwa tunakiss hata lisaa limoja hadi tunalegeaaa.

Daaah em moment.
Afu nikawa napenda kumeza mate yake balaa. Ila alikuwa hajui so nilikuwa namuweka juu ili akinidendeka iwe rahis kwa mm kuyapata kiulaini.

Up to now nikimpata mtoto mkali laZima nimtrain pole pole hadi apende ae njoy hii moment
Aiseeeeeeeeh
 
Habari wana jamvi,

Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?

Hii story nimeipata kwa rafiki yangu mmoja, yani huyo boyfrend wake akimkiss hadi mood yote inakata...

JAMANI JIFUNZENI KUKISS SIO MNAKURUPUKA TU MNABOA WATU.
Huyo rafiki yako anafanya mapenzi na Vimpires halafu anasingizia wanaume.
 
Mmmh!
Wanawake tunahadithia mengi hivi??

Itabidi kuwe na shule maalumu ya utunzaji wa siri za ndani
Hawa ndio wale ambao wanawaadithia shost zao jinsi walivyolala na waume zao.
 
Back
Top Bottom