Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

Habari wana jamvi,

Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?

Hii story nimeipata kwa rafiki yangu mmoja, yani huyo boyfrend wake akimkiss hadi mood yote inakata...

JAMANI JIFUNZENI KUKISS SIO MNAKURUPUKA TU MNABOA WATU.
Tehtehteh!!

Aiseeeeee!!

Ebu tufundishe sasa kuwa unatakiwa kukiss vipi mkuu?

Tunatakiwa tuwe tunauweka ulimi vipi na mate yawe kiasi gani mdomoni?
 
mbn una msakizia rafiki ako [emoji3][emoji3][emoji3]tunajua ww ndo mhusik okay tutajirekebisha au sio best
 
Nakumbuka nilifundishwa kukisa na girlfriend wangu mzungu.
Tulikuwa tunakiss hata lisaa limoja hadi tunalegeaaa.

Daaah em moment.
Afu nikawa napenda kumeza mate yake balaa. Ila alikuwa hajui so nilikuwa namuweka juu ili akinidendeka iwe rahis kwa mm kuyapata kiulaini.

Up to now nikimpata mtoto mkali laZima nimtrain pole pole hadi apende ae njoy hii moment
Inna huyo
 
Mmmh!
Wanawake tunahadithia mengi hivi??

Itabidi kuwe na shule maalumu ya utunzaji wa siri za ndani
febf0d0f5795fd013ea6ccfa8fef11b6.jpg
 
Back
Top Bottom