Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

Hii ni Kwa wote. Bora umkute msafi ila hajui kukiss coz waweza kumwambia atulie ili udrive. Kwa maana nyingine you will be teaching him through actions hapo hapo. taabu unakiss kwanza anakupelekea limi hilo mpaka kwenye kolomeo, domo linanuka, anatoa limi na vijimaharage vilivyobakia. This is for all haina gender
 
febf0d0f5795fd013ea6ccfa8fef11b6.jpg
Sio kweli
 
Habari wana jamvi,

Mi ninapenda kujua inakuaje mwanaume unakua unapenda kupiga denda wakati shughuli yenyewe huiwezi? Utakuta mwanaume anakukiss kwanza anaachama domo lote wazi, pili anaingiza liulimi lake bila hata formular hadi mwishowe unastuka amekujaza mate karibia uso wote yani hadi pua, hivi kwanini wanashindwa kujifunza better way?

Hii story nimeipata kwa rafiki yangu mmoja, yani huyo boyfrend wake akimkiss hadi mood yote inakata...

JAMANI JIFUNZENI KUKISS SIO MNAKURUPUKA TU MNABOA WATU.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo atakua mtt wa nyoka[emoji22] haiwezekani afikishe ulimi na mate mpk puani[emoji85] [emoji36][emoji33]
Mwambie best yako amchape makofi akifanyiwa hivyo tena[emoji124]
 
...Tuvumilieni tuu wapendwa, kama sisi tunavyowavumilia tukizama uvinza, si mnaonaga wakati mwingine tukitoka huko machimbo uso mzima unakuwa umechafuka utafikiri umemwagiwa bakuli la mtindi?
 
wanaume tumekuwa kama chumvi kwenu...
tukizidi lawama..
tukipungua lawama...
tukiacha kabisa lawama.....
hakika hakuna mwanaume anaejua mwanamke anataka nini hasa kwenye huu uliwengu..???..
 
...Tuvumilieni tuu wapendwa, kama sisi tunavyowavumilia tukizama uvinza, si mnaonaga wakati mwingine tukitoka huko machimbo uso mzima unakuwa umechafuka utafikiri umemwagiwa bakuli la mtindi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umepiga 3-bashite[emoji85]
Sio kwa upole huo mwanzo thn unamaliza kwa mkandamizo mna hiyo[emoji52]
 
Back
Top Bottom