Wanaume jamani mnatuchefua

Leo una nini na sisi wanaume umetupania kweli mara ya kwanza umetuka nyumba zetu zinazohifadhi mikia yetu(boxer)
 
Hahahahs jaman watu wanapamɓana na mapua ƴaoooo wallah
 
Ant mapua nywele nywele nakuona upo kazini.

Mimi ni adui mkubwa wa kioo.
 
Huwezi kuwaridhisha wanawake... mfano wewe hupendi vinyweleo, yule anapenda...
 


Acha gubu. Hizo zina shida gani?
 
Unaweza kushangaa MTU anaye lalamika kinyaa,kinyaa ukimwona usoni unaweza kutapika
 
ww mtu sio bwana ako unaona kinyaa sasa kama mkewe anazipenda unataka anyoe akurizishe ww??
mm nilijua sijui mumeo ndo anayo sasa mzee yusuph ana wake zaidi 2 sijui 3 kama bado anazo basi hakuna zanaempa shda
lakn ww ndo kisebu sebu na kiroho papo
 
Nami ni m1wao... Asante kwa ushaur mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…