Wanaume jamani badilikeni basi mnapooa huh!

MADIDINGWA

Senior Member
Jul 26, 2012
118
15
mambo wana jf, ni kwann mwanaume aliyeoa anavua pete ya ndoa anapokuwa njiani kuelekea kazini? hv ndoa aliyofunga alilazimishwa au alichagua kwa mapendo yake mwenyewe?. Leo nimejionea kwa macho yangu mwenyewe asubuh, nimejiuliza maswali mengi, lakini mpka sasa sijapata jibu, nadhani hapa nitapata majibu mazuri yatakayonifanya nielewe kwann wanafanya hivyo. Mtanisamehe wanaume ambao mtakuwa mmekwishaoa kama nitakuwa nimewakwaza.
 
mambo wana jf, ni kwann mwanaume aliyeoa anavua pete ya ndoa anapokuwa njiani kuelekea kazini? hv ndoa aliyofunga alilazimishwa au alichagua kwa mapendo yake mwenyewe?. Leo nimejionea kwa macho yangu mwenyewe asubuh, nimejiuliza maswali mengi, lakini mpka sasa sijapata jibu, nadhani hapa nitapata majibu mazuri yatakayonifanya nielewe kwann wanafanya hivyo. Mtanisamehe wanaume ambao mtakuwa mmekwishaoa kama nitakuwa nimewakwaza.

kuoa hajalazimishwa ila kalazimishwa kuvaa pete, mbona sioni uhusiano wa kuoa na kuvua pete hapo!
 
wengine wanaepusha usumbufu kwani hujui sikuizi watu wanakimbilia waliooa? na vile vile kuvaa pete na kutokuva sio kipimo cha uzinzi au upole au ishara yakuheshimu ndoa....
 
Pia baadhi ya watu ni alegic kwa baadhi ya madini. Ni mbaya tu kama anavua kwa kusudio la kutenda ubaya. Ila vinginevyo-mimi sioni ubaya.
 
...sio sahihi kuivua kama huna sababu ya msingi...(haina madhara kwenye kidole chako)
kama point ni kumlinda mwenzi wako, pete haisaidii lolote maana hata nikiwa na pete yangu siku hizi wanajaa tu
 
Pete ya ndoa sio ndoa. Ndoa ni commitment. Kama hana hiyo commitment kichwani hata akivaa/akivua pete hakuna heri wala hasara. He is theoretically not committed to his marriage. technically he is not even engaged because as its name points it so clearly, uchumba ni "engagement" to take a person as a wife/husband, na ndoa nkio kikomo cha engagement hiyo.
 
Wavua pete utawajua tu. Kumbe mko wengi hivyo Jf. Asante mteta mada umesaidia wengine tujue
 
...sio sahihi kuivua kama huna sababu ya msingi...(haina madhara kwenye kidole chako)
kama point ni kumlinda mwenzi wako, pete haisaidii lolote maana hata nikiwa na pete yangu siku hizi wanajaa tu

na vile we ni mzee wa mibagah wanafurahije...tena bila shaka wao ndio wanasaidia kuichomoa kutoka kidoleni
 
Anayevua pete kwa nia mbaya anakuja kuumbuka muda si mrefu kwani pete kupotea ni rahisi sana.

Anyway pete ya gold mara nyingi haina madhara kwenye ngozi. Hivyo mimi bado ni old fashioned; nikiona mtu nayemjua hana pete na conclude amesha divorce au ndio wale wanaoficha marital status zao.

Pete ni ishara ya upendo na uaminifu kwa sisi wakristo...na hata tunapovalishana husema mwenzangu pokea pete hii iwe ishara ya upendo wangu na uaminifu wangu kwako....tena mbele ya padre, ndugu jamaa na marafiki. Sasa leo hii uamue tu kuvua unataka jamii ikuchukulieje?...umeshindwa kuwa mwaminifu au upendo umeisha. Kwa nini hukusema kanisani mi ndoa nafunga lakini pete sio swaga zangu?

Hakuna kujitetea kuwa ni personal preference/choice kwa kuwa harusi yenu ilikuwa public; hivyo una deserve kuwa judged na society.
 
For devoted couples, wearing their wedding rings is more than just wearing jewellery; wedding rings represent union and love, as well as sending a message out to the rest of the world to say they are already 'off the market'. Taking off wedding rings can be a powerful, emotional kick in the teeth – implying the marriage could be on shaky grounds.

Of course, there are times when taking off your wedding rings is practical – washing up, doing dirty work, or for some people, taking off all their jewellery when they go to bed is the norm. But taking of your wedding ring when you're going clubbing is certainly sending out a direct message.
 
....kadiri ninavyoendelea kuishi...kadiri ninayopanua uwezo wangu wa kufikiri...the wedding ring loses it's touch.

marriage is a commitment between two individuals in love...it is totally not about that piece of metal! kuvaliwa kwake au kutovaliwa kwake hakubadilishi chochote...mtu atatunza ndoa kwa utashi wake sio kwa pete yake!!!!!
 
Huyo atakuwa na uelewa mdogo sana.wasichana wangapi wanatoka na waume za watu.tena wana wanandoa zao na pete zao?
 
Ila sisi kwa kuiga tuu......

In Western cultures, a wedding ring is traditionally worn on the ring finger. This developed from the Roman "annulus pronubis" when the man gave a ring to the woman at the betrothal ceremony. According to tradition in some countries (derived from Roman belief), the wedding ring is worn on the left ring finger because the vein in the left ring finger, referred to as the vena amoris, was said to be directly connected to the heart, as a symbol of love. Blessing the wedding ring and putting it on the bride's finger dates from the 11th century. In medieval Europe, the Christian wedding ceremony placed the ring in sequence on the index, middle, and ring fingers of the left hand. The ring was then left on the ring finger. In a few European countries, the ring is worn on the left hand prior to marriage, then transferred to the right during the ceremony. For example, a Greek Orthodox bride wears the ring on the left hand prior to the ceremony, then moves it to the right hand after the wedding. In England, the 1549 Prayer Book declared "the ring shall be placed on the left hand". By the 17th and 18th centuries the ring could be found on any finger after the ceremony - even on the thumb.


In some Orthodox Christian countries, and in Scandinavia, the wedding ring is worn on the ring finger of the right hand.
Several traditions exist in traditional Jewish wedding ceremonies: most commonly today, the ring is placed on the index finger; but other traditions record placing it on the middle finger or the thumb. Today the ring usually is moved to the ring finger after the ceremony. Some Jewish grooms have adopted wearing a wedding ring.A wedding ring is not a traditional part of the religious Muslim wedding; wedding rings are not included in most Islamic countries. However, if a wedding ring is worn in an Islamic country, it may be worn on either the left (such is the custom in Iran) or the right ring finger. As opposed to the wedding ring, use of a ring to denote betrothal or engagement is quite prevalent in Muslim countries, especially those in West and South Asia.


Rings are not traditional in an Indian wedding. However, in modern society it is becoming a practice to wear rings for engagements and not for actual marriage. Though the left hand is considered inauspicious for religious activities, a ring (not to be called wedding ring) is still worn on the left hand. In Sinhala and Tamil culture, the groom wears the wedding ring on his right hand and bride wears it on her left hand ring finger. This can be seen in countries like Sri Lanka where there is a rich Sinhala and Tamil cultural influence in the society.
 
Pete haimzuii mtu kupiga mpango wa kando anavaa pete anapiga mpango wa kando kama kawa.
 
wadau, life is very challenging these days, na moja ya institution zinazohitaji antivirus ya nguvu ni marriage. the best option ni kumuomba Mungu na kumkabidhi marriage yako. Yeye akiwepo kwenye ndoa yenu, u r guaranteed. kama Mungu hayupo, I'm afraid hata kama mtu ataweka nanga kidoleni ili watu wafahamu yeye ameoa/ameolewa ilhali ndoa yenyewe ni majuto matupu,haimsaidii mhusika.

....ni mawazo yangu tu
 
wengine wanaepusha usumbufu kwani hujui sikuizi watu wanakimbilia waliooa? na vile vile kuvaa pete na kutokuva sio kipimo cha uzinzi au upole au ishara yakuheshimu ndoa....

mmmh sina hakika kama kweli siku hizi wanakimbiliwa waliooa, sasa niliyemwona leo asubuhi kamtokea demu wakiwa bado wanaoongea mwanaume alivua pete na kuweka mfukoni kisha wakabadilishana namba za simu, sasa kulikuwa na haja gani ya yeye kuvua ile pete? na sio huyo tu niliyemwona leo, kuna kipindi cha nyumba tena nilimwona mo1, ilikuwa ni asbh kituo cha daladala, ghafla nilimwona kavua ile pete na kuweka mfukoni.
 
Sasa hapa sioni mantiki ya pete kuvuliwa kwa kuwa amevua wakati huyo mwanamke anamuona. Hivyo huwezi jua sababu hasa ya kuvua hiyo pete; ingekuwa kuficha kama ameoa; hapo kwenye bold wewe mwenyewe unasema amevua wakiwa wanaongea.

Afu hivi mtu anaweza kweli kudanganya kwa kuvua pete? Mbona pete huacha alama vidoleni. Mabinti wanapenda tu waume za watu kwa kuwa wana pesa kuliko vijana, period. Kama kuna wanaodang'anywa marital status basi ni 0.00000001%

Mahusiano mengi na waume wake za watu yanafanyika huku wahusika wana full information za wanaochiti nao.



mmmh sina hakika kama kweli siku hizi wanakimbiliwa waliooa, sasa niliyemwona leo asubuhi kamtokea demu wakiwa bado wanaoongea mwanaume alivua pete na kuweka mfukoni kisha wakabadilishana namba za simu, sasa kulikuwa na haja gani ya yeye kuvua ile pete? na sio huyo tu niliyemwona leo, kuna kipindi cha nyumba tena nilimwona mo1, ilikuwa ni asbh kituo cha daladala, ghafla nilimwona kavua ile pete na kuweka mfukoni.
 
Back
Top Bottom