Wanaume jamani badilikeni basi mnapooa huh!

Huyo uliemuona ni mmoja tu kati ya wanaume wengi sana waliooa na wenye pete na pia sina uhakika kama umemuuliza kwanini anaivua hiyo pete kabla ya ku-make conclussion kuwa jamaa sio mwaminifu. Kitu kingine ni kwamba jamaa amevua pete tu, hajamvua au kumuacha mkewe maana ndoa au mke si pete bali ni zile commitment za maisha ya mke na mume. Binafsi kuna jamaa yangu wa karibu sana, mkewe kapoteza pete ya ndoa sina uhakika kama aliivua ikapotea au ilikuwa kubwa ikamdondoka, lakini hicho siyo kigezo cha kunifanya niamini kuwa wanawake wengi/wote hupoteza pete ili wapigwe nje.
 
Sasa hapa sioni mantiki ya pete kuvuliwa kwa kuwa amevua wakati huyo mwanamke anamuona. Hivyo huwezi jua sababu hasa ya kuvua hiyo pete; ingekuwa kuficha kama ameoa; hapo kwenye bold wewe mwenyewe unasema amevua wakiwa wanaongea.

Afu hivi mtu anaweza kweli kudanganya kwa kuvua pete? Mbona pete huacha alama vidoleni. Mabinti wanapenda tu waume za watu kwa kuwa wana pesa kuliko vijana, period. Kama kuna wanaodang'anywa marital status basi ni
0.00000001%

Mahusiano mengi na waume wake za watu yanafanyika huku wahusika wana full information za wanaochiti nao.


ok, wakati anavua hiyo pete yule demu hakujua kama anavua. mbona unatetea sana au na wewe ni mo1 wapo?
 
Huyo uliemuona ni mmoja tu kati ya wanaume wengi sana waliooa na wenye pete na pia sina uhakika kama umemuuliza kwanini anaivua hiyo pete kabla ya ku-make conclussion kuwa jamaa sio mwaminifu. Kitu kingine ni kwamba jamaa amevua pete tu, hajamvua au kumuacha mkewe maana ndoa au mke si pete bali ni zile commitment za maisha ya mke na mume. Binafsi kuna jamaa yangu wa karibu sana, mkewe kapoteza pete ya ndoa sina uhakika kama aliivua ikapotea au ilikuwa kubwa ikamdondoka, lakini hicho siyo kigezo cha kunifanya niamini kuwa wanawake wengi/wote hupoteza pete ili wapigwe nje.


sawa, ila ni kwanini pete aivue barabara? kama aliona ni mzigo si bora asingevaa kabisa ikajulikana moja tu, kwamba ameoa lakin havaii pete.
 
mambo wana jf, ni kwann mwanaume aliyeoa anavua pete ya ndoa anapokuwa njiani kuelekea kazini? hv ndoa aliyofunga alilazimishwa au alichagua kwa mapendo yake mwenyewe?. Leo nimejionea kwa macho yangu mwenyewe asubuh, nimejiuliza maswali mengi, lakini mpka sasa sijapata jibu, nadhani hapa nitapata majibu mazuri yatakayonifanya nielewe kwann wanafanya hivyo. Mtanisamehe wanaume ambao mtakuwa mmekwishaoa kama nitakuwa nimewakwaza.

Wapi hiyo labda njiani kuna vibaka na alishawai kukabwa na pete zetu tunanunua bei ghali sana
 
sawa, ila ni kwanini pete aivue barabara? kama aliona ni mzigo si bora asingevaa kabisa ikajulikana moja tu, kwamba ameoa lakin havaii pete.
Kwahiyo kama akiivulia ofisini kwake au chooni, hilo huna tatizo nalo?................... je na mimi nikitaka kujiaminisha kuwa wanawake walioolewa wanapotezaga pete makusudi ili wafanye uzinzi nje nitakuwa sahihi kwa sababu tu wife wa rafiki yangu kapoteza pete yake ya ndoa?. Nadhani pete ibakie kuwa pete na uaminifu katika ndoa ubakie pale pale na kila mmoja atambue nafasi yake kama mume /mke. Pia sina maana ya kukupinga usemacho lakini tunatofautiana kidogo kwenye mtazamo kwamba hiyo sample ya mwanaume mmoja uliyemshuhudia haitoshi ku-generalize kwa wanaume wengi waliooa.
 
Mimi nimeshaona wengi wanaleta cheap excuses za ooh sikujua kama kaoa...ooh sikujua kaolewa. Waklati wanaingia kwenye mahusiano na wake/waume wa watu wakiwa na full details. Ndio maana sijuhi nia ya mleta mada hasa ni nini?


Tuone kuwa wenye makosa ni wana ndoa? Au kutuonyesha wanandoa ni cheaters? Au kutaka kusema wa kulaumiwa ni wanaume?


To me cheater na anayecheat nae wote ni mule mule.. Hakuna mwenye lawama less.
 
....kadiri ninavyoendelea kuishi...kadiri ninayopanua uwezo wangu wa kufikiri...the wedding ring loses it's touch.

marriage is a commitment between two individuals in love...it is totally not about that piece of metal! kuvaliwa kwake au kutovaliwa kwake hakubadilishi chochote...mtu atatunza ndoa kwa utashi wake sio kwa pete yake!!!!!

Kwanini sasa huwa hamzikatai hizo pete na kumwomba padri awaapishe kwa utashi wa kila mmoja wenu?
 
Mimi nimeshaona wengi wanaleta cheap excuses za ooh sikujua kama kaoa...ooh sikujua kaolewa. Waklati wanaingia kwenye mahusiano na wake/waume wa watu wakiwa na full details. Ndio maana sijuhi nia ya mleta mada hasa ni nini?


Tuone kuwa wenye makosa ni wana ndoa? Au kutuonyesha wanandoa ni cheaters? Au kutaka kusema wa kulaumiwa ni wanaume?


To me cheater na anayecheat nae wote ni mule mule.. Hakuna mwenye lawama less.

Ukisema hivyo unawafanya wajifariji na kuendelea kucheat kwa minajiri kwamba siku kikinuka msala unakuwa wa wote! Ilhali kwenye suala la kucheat, tukiangalia kwa maisha yetu tulio wengi tukiachilia mbali wachache wa mashavuni......upande wa mwenye ndoa ndo huathirika sana hususani familia.....so waendelee tu kuzibeba lawama!
 
mmmh sina hakika kama kweli siku hizi wanakimbiliwa waliooa, sasa niliyemwona leo asubuhi kamtokea demu wakiwa bado wanaoongea mwanaume alivua pete na kuweka mfukoni kisha wakabadilishana namba za simu, sasa kulikuwa na haja gani ya yeye kuvua ile pete? na sio huyo tu niliyemwona leo, kuna kipindi cha nyumba tena nilimwona mo1, ilikuwa ni asbh kituo cha daladala, ghafla nilimwona kavua ile pete na kuweka mfukoni.
............... aliogopa kutekwa, maana mwenye ndoa ana uhakika.:sleepy:
 
Wapi hiyo labda njiani kuna vibaka na alishawai kukabwa na pete zetu tunanunua bei ghali sana

Ila visingizio vingine bana! Mtu anavaa saa la gharama na halivui......tena si ajabu upande mwingine ana pete kali tu ya madini, ila nayo haivui! Sasa ndo kusema hao vibaka wanafata pete za ndoa tu?? Aisee!!!
 
kufanya zinaa sio bahati mbaya, ni dhambi kamili, ndiyo maana watendaji kabla ya kuzini wanakuwa na muda wa kutosha kufahamiana. ni vigumu na ni mara chache watu kukutana mara moja na kuzini siku hiyo hiyo. labda kama mwanamke ni typical changudoa

hii dhambi ni mpaka mtu amkubali Yesu amuokoe, vinginevyo kila siku tutajadili na hakutakuwa na mabdiliko

dhana ya kuvaa/kuvua na kutokuvaa pete inayoitwa ndoa. mm nina mtizamo ufuatao-
1. Ndoa ni mkataba wa maisha baina ya watu wawili yaani mwanaume na mwanamke, utaona katika tafsiri hii ya Biblia/ Sheria tulizonazo haitajwi kuwa sehemu ya ndoa au upendo na uaminifu
2. Biblia inasema pendaneni, watu wakioana wanapaswa kupendana na kuheshimu ndoa yao

3. Mungu alipowafungisha ndoa Adamu na Hawa, wanadamu wa kwanza kuishi duniani, hakuwavisha pete yoyote kuonesha kuwa pete/mapete ni chukizo mbele za Mungu. Kuvaa pete ni moja ya vazi/pambo ambalo lilikuwa linatumiwa katika ibada za Miungu na makahaba

4. uaminifu ni tabia inayojengwa, fikiria mtu ameanza kuzini na wanaume tofauti tofauti tangu akiwa na miaka 7 hadi ulipomuoa, unadhani ametembea na wanawake/wanaume wangapi. kutembea nje ya ndoa kwake inakuwa sio tatizo kabisa kwasababu hata moyo wake/tabia ya ndani imejengwa hivyo. haona kuwa ni vibaya.

mm niwaambie achaneni na mambo ya kuvaa pete kwani matokeo yake mnalazimishwa kuabudu miungu hata msiyoijua. mm nilipofunga ndoa nilikataa kununua wala kuvaa pete kwani uzoefu unaonesha hata watu wanaoongoza kufa kwa ukimwi ni watu walioko kwenye ndoa, wavaa pete zinazoitwa za ndoa wakati ni ibada za miungu. je pete zao zimekuwa na faida gani katika maisha, upendo na uaminifu ktk ndoa zao. je mliooa mbona ni wazinzi kuliko hata wasio na pete? pete zenu zimewasaidia vipi kuzuia ninyi kufanya zinaa?

tena mm nawashauri zivueni zote wala msizivae tena kwani ni ufisadi mtupu
 
wale tunaofanya kazi ktk ajira rasmi yaani maofisini je wanawake wangapi ambao wameolewa wana pete zao lkn wanatembea na mabosi wao, wakiinamishwa katk vyoo na masofa katika ofisi za mabosi wao, je pete zao zimewasaidia nini? si bora watembee bila pete
 
Back
Top Bottom