Wanaume huwa mnahitaji nini?

Achana na huyu mpumbavu mara moja, wanaume tupo wengi, huyo siyo
 
Huyo jamaa ni muanga wa mapenzi wanaume tunapitia kipindi kigumu sana wakati wa ukuaji tunatukanwa na kuzalilishwa inatikia kipindi unasema sitakuja kumuamini mwanamke katika maisha yangu tena mara ghafla unapata kazi maisha yanakuendea vizuri sasa unakuja muda wa kisasi, ni ngumu sana kutulia na mwanamke au kuamini upendo wake wakati hapo kabla wanawake walikuwa wanakudharau , unajua kabisa huyu amefuata maisha hivyo unalipiza kisasi automatic.
 
Aliyekwambia tunaridhika na mbususu moja ni nani ?

Tunafanya kwa kujificha sababu tunawapenda ukiona huyo hajifichi hakupendi

We zunguka kote tabia zetu ni zilezile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…