Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Wizara ya Afya imekuwa ikiwataka wanaume kuhudhuria leba pindi wake zao wakijifungua ili kusaidiana na mama mzazi katika majukumu tofauti ikiwemo kuhakikisha mtoto ni wa mzazi sahihi.
Kufuata vifaa ama bidhaa dukani kwa ajili ya mama mzazi, kumshika bega mama mzazi pale anaposhindwa kutembea nakadhalika.
Ikumbukwe hapo awali, wanaume walitafsiri kitendo cha kuhudhuria leba kama aibu pasipokujua kuwa mama mzazi anapokuwa mwenyewe wakati wa kujifungu, kunaweza kuwa na hitilafu mbalimbali ambazo kama baba mzazi angekuwepo basi zisingetokea.
Kufuata vifaa ama bidhaa dukani kwa ajili ya mama mzazi, kumshika bega mama mzazi pale anaposhindwa kutembea nakadhalika.
Ikumbukwe hapo awali, wanaume walitafsiri kitendo cha kuhudhuria leba kama aibu pasipokujua kuwa mama mzazi anapokuwa mwenyewe wakati wa kujifungu, kunaweza kuwa na hitilafu mbalimbali ambazo kama baba mzazi angekuwepo basi zisingetokea.