Wanaume hii maana yake nini?!

Wanaume hii maana yake nini?!

Hapo utaangalia jinsi ya kusuluhisha mgogoro kwa namna bora kabisa yenye kuzingatia maadili na maslahi ya pande zote na jamii kwa ujumla.

Si jambo rahisi kwa sababu mara nyingine uhuru wa mtu mmoja unaingilia uhuru wa mtu mwingine.

Ni kama ukiwa na jirani ambaye yupo kwake anasikiliza muziki kwa sauti ya juu kwa mujibu wako, lakini yeye anaona si ya juu halafu yupo kwake. Inatakiwa diplomasia na akili kusuluhisha bila kuongeza mkwaruzano.

okeee

nimejitahidi kukuelewa
 
Omba radhi kwa kujumuisha wanaume wote,huo ujinga unafanya na baadhi ya vijana wenye chembe za ushoga tuh.
 
Habari zenu,
Naombeni mnisaidie hii kitu siielewi vizuri. Hivi mtu mwenye jinsia ya kiume anapofanya mambo ya kike huwa mnamuitaje?
Je kutambua mtu mwenye jinsia ya kiume anafanya mambo ya kike na kuitwa jina maalum (....) ni hadi afanye mambo mingapi ya kike?
Je akifanya jambo moja tuu la kike kwa mara ya kwanza je huyu mtu utasema anatabia za kike au anajifunza (u....)?
Mfano mkaka anapofanyiwa manicure na pedicure baa na wale vijana wanaotembea na vikapu vya kupaka rangi kisha anakatwa kucha na kupakwa rangi ya colourless..... hapo mnasemaje? Imekaa sawa hii?
Je huo sio mwanzo wa kesho kwenda saluni kutinda nyusi na kuanza kupaka lips shine?
Hivi huo ni usharobaro au ndo style za mjini? Nisaidieni wanaume hizi tabia za wanaume kwa wavulana kufanya tabia za urembo wa kike ni sawa?
Au ndo atari za umagharibi? Kweli jamani.... mmmh mie naona haijawa sawa ila naombeni maelezo yenu.
Mlale unono na wote.

Kasie.
Aliyekuroga wewe hadi afufuke ndio utakuwa salama. Toka nimeanza kusoma posts zako nimeona ni kiasi gani hii dunia imekuvurugaaa...by the way yule jamaa uliyemkabidhi kila tundu...ndani ya mwili wako kule US bado unawasiliana nae au ndio sasa unavurugwa na vijana wa kazi wa hapa town??
 
Mkuu kwa kiasi kikubwa ushoga ni hisia..Na mara nyingi wengi wanakuwa nazo..Wachache ndo zinaanzia ukubwani..Mtu kama hana hisia hizo ni ngumu sana kugongwa haijalishi anajipodoa au Lah..
Wanaume wa Dar wanaanza kuwa janga la Taifa sasa!
 
Ishi maisha yako, acha wengine waishi maisha yao kama hawakuingilii maisha yako.

Hii ni kanuni ya msingi kabisa.
Kila jamii ina common culture, norms and believes mkuu in which everyone must bind!
 
Mwanaume anapokubali kuyafanya hayo ni rahisi sana kuingia kwenye ushoga na kuwa shoga. Ni kwasababu hata company yake itakuwa si ya wanaume marijali bali mabinti na atatongozwa pia au atajitongozesha kishost shost kisha ataharibiwa.
 
Kila jamii ina common culture, norms and believes mkuu in which everyone must bind!
Nimeongelea kuhusu jamii katika post #40.

Lakini hata common culture nayo si kitu ambacho hakijadiliwi na hakibadiliki.

Kwa mfano, makabila mengi yana utamaduni wa kutahiri wanawake. Hilo halimaanishi kwamba tuendelee tu kukubali utamaduni huu bika kuuangalia uzuri na ubaya wake.

Halafu ukweli kwamba kuna dominant culture haumaanishi walio katika counter cultures na subcultures wasisikiklizwe.

Unaweza kujikuta unalazimisha Wamasai wote wavae suruali.

Culture is not static.
 
Ukiona mwanaume anamuingilia mwanaume mwenzake ujue huyo lazima akili zake haziko timamu hata kidogo, hivi unaanzaje? maana hakuna chochote kinachoshawishi, hebu fikiria unapompapasa hlf unashika dushe unajisikiaje?
 
Wanaume wa kweli tupo wachache sana saivi, nadhani na uvivu kupenda vya haraka na vizuri kuna waharibu vijana wengi wa Kiume
 
Dunia iko uchi Mkuu, sa hivi watu wanatafuna ass za Wenzao. Kuna dogo m1 hapa arusha anajifanyaga dalali wa magari, Mara yuko mererani kwny madini kumbe chenga tupu waarabu wanamtafuna mpk wamempangishia nyumba Njiro. Mpk wamtoe puru ndo ataelewa
mkuu kama namjua hivi.....hahahhaah
 
Kufanyiwa pedicure na Manicure nadhan ni utanashati tu havina uhusiano na ushoga...kuna weñgine hadi wanasuguliwa nyuso zao.Ni kujiweka sawa tu na smart. Japokuwa kwa mkaka aliyeoa ni vizuri akapatiwa huduma hii na Mkewe.

Uko smart mkuu
 
Haya mambo yana wenyewe. Mi sishangai mtu nikimkuta anafanyiwa manicure na pedicure let alone massage ! Ndio urembo na utanashati wenyewe ati ! Sasa kama wewe umeona kuwa mwanaume kamili ni lazima uwe na magaga miguuni au chunusi kama Fid Q wa kipindi kile sawa ! But kwa watu wanaojipenda hayo mambo ni kawaida tu..
Mi sijawahi kufanya kwa vile tu pesa yangu ina matumizi mengi so siwezi kuafford some luxuries but kama mpunga unaruhusu nafanya tu ! By the way huo ndio utofauti wenyewe na hata wanawake wana wanayoyapenda kutoka kwa wanaume;
1. Kuna wanaopenda wanaume wanaonuka kikwapa na jasho kali kama beberu !
2. Kuna wanaopenda wanaume wenye sura ngumu na viganya vyenye sugu kama jiwe
3. Na pia kuna wale wanaopenda wanaume wenye standard ya akina ommy dimpoz !

All in all that's diversity bana ! So chill up kidogo bana sio unakuwa kama mtu wa mwaka 1947 !

Ubavu !
Mnaanzaga hivihivi mara mnapumuliwa visogoni
 
Na sasa imekuwa kama fashion tu wala hawaogopi kabisa eti na yeye anapanga foleni saloon ya kike anasubiri zamu yake ya kusugulia miguu kukatwa kucha na kufanyiwa usoni scrub akimaliza anaingia kwenye massage...Eeeh pata pesa tutakujua tabia yako tu..
Tena hizo make up wanazijua kuliko hata sisi, wanajua original na fake, wanajua kati ya Fashion Fair, Imani, Bobby Brown au Flory Robert. Mbona mjini kazi ipo.
 
Kule kwetu Mara sifa ya mwaume ni sura ngumu na makovu ya mapanga km sio mawe. Sasa niende skrabu sijui nn ukoo unizire
 
Back
Top Bottom