Wanaume hii bajeti inapita?

Wanaume hii bajeti inapita?

Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd

Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.

JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???
Ndo kwanza january hata hatujaigawa katikati😆😆
 
Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd

Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.

JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???
Wee jamaa bn huo mshaharawa mwez na nusu. Bajet huwa haizid 30k kam ukijipig sanaa 50k kwa mbindee😆😆😪
 
Back
Top Bottom