INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,057
- 20,918
- Thread starter
- #81
kweli asee raha sana, Uhuru unakua wa kutosha
Hatari sana.
kweli asee raha sana, Uhuru unakua wa kutosha
Mtushirikishage na sisi namna mnavyopata pesa nyingi za kula bata sio kutushirikisha kwenye matumizi tu.

uber sio gari, au mnachukua Uber bodaboda?
200k ni ndogo sana demu classic huwezi mpandisha bus, ni ndege tena ticket ya go and return. Na sio umpeleke lodge ni 5 star hotel. Binafsi huwa nahonga mwanamke mpaka nyumba akinibamba kinoma noma!








Wanangu bora tuoe tu , 220k weekend moja ijayo hivyo hivyo ! Chukua mtoto weka ndani mpange maisha
![]()
Ndo kwanza january hata hatujaigawa katikati😆😆Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd
Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.
JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???
Ndo kwanza january hata hatujaigawa katikati![]()
Kwa hiyo January ni witiri au tasa, wataalamu wa hesabu watusaidieAfu haigawiki kwa 2
chips yai na mirinda na maji makubwa, inabaki 200k ampe yote....atafinyiwa kwa ndani hadi alie, ni atapewa yote!!









Sawa sawaNi kama alivyosema dada Evelyn hapo
Aah! Kulikoni tena.Lipia tangazo mkuu![]()

Heshima Yako Hunter.HUNTER HUNTER
Hakika Kwa Upuuzi Ule Ni Upumbafu Wangu.Pumbavu zako
We unaona unastahili pesa nyingi kwa sababu ya kutoa penzi? Ile ni biashara au starehe?Sasa unaniitaje tapeli?
Wee jamaa bn huo mshaharawa mwez na nusu. Bajet huwa haizid 30k kam ukijipig sanaa 50k kwa mbindee😆😆😪Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd
Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.
JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???