Wanaume hii bajeti inapita?

Wanaume hii bajeti inapita?

Kwa hio bajeti unambato K 10 tofauti pape rivasaidi za buku 5 tano jumla 50k

Halafu tano unakula mchemsho wa kuku pembeni pale

Jumla 55k

Halafu 15k unakula kilamanjaro 15 za buku jero maisha yanataka nini zaidi [emoji2]

Jumla 70k

Unabakiwa na 150k unaenda nunua bati 13 taratibu unaanza ujenzi mdogo mdogo

Don’t take life so serious mkuu
Kwanini ujibane wakati maisha ni haya haya
Unatumia bajeti ya 50k kupata utelezi
Ila bajeti kubwa zaid kutibu kisonono
 
Huu uzi umekaa kitapeli sana......, hivi Tanzania yetu kwa vibiashara uchwara ule 500k per day[emoji848] maana hapo tusimguse mfanyakazi maana hata hyo hela kwa mwezi yawezekana haipati hoehae kama mimi.....,

Ninavyojua kwa biashara zetu local mtu mwenye mtaji wa m 200 au 300 kwa mwezi huwa anajilipa 1m au pungufu na mwisho wa mwaka anapata net profit ya 20m to 30m inategemea na mwaka huo ulikuaje.......

Halafu mchimba chumvi mmoja wa huku Uswahilini ndani ndani kwa Mzee kishingo mwenye kabiashara kake ka 10m to 20m anakwambia anaponda 500k per night[emoji848] F*uc... u nigger[emoji867]
 
Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd

Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.

JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???
Dah mm huwa bajeti haivuki elf60 piga ua kama hawezi aniache na umaskini wangu, occasionally huwa nagonga laki 1
 
Mm huwa sitoi hela baada ya kula tunda and mwanamke wa kudai hela ndo umtie huwa namweka kundi la malaya
 
Back
Top Bottom