Wanaume hii bajeti inapita?

Wanaume hii bajeti inapita?

Hivi mnavyo zungumzia demu classic mnaangalia nini.....? Maana Kuna pisi sa ajabu tunazipindua kwa pesa nyasi sana.nyie wenzetu mnafanya Nini Hadi mnapigwa pesa nyingi hivyo

Uwe unatupa na bajeti mkuu. Hizo pisi kali huwa bajeti ipoje
 
Mwanamke wa kienyeji na kawaida TU
Lodge/guest= isizidi 35,000
Vinywaji&chakula=isizidi 50,000
Kinga, vilainishi,tissue na sabuni= isizidi 20,000
Nauli= isizidi 20,000
Posho ya uchafuzi= 50,000
TOTAL= 175,000
NB: ila Mara nyingi huwa staki izidi 150,000

Mwanamke classic, msafi Anayejielewa na kujipenda
Hotel= kuanzia 100,000
Vinywaji&chakula= kuanzia 100,000
Kinga na vilainishi,perfume, n.k= 10,000
Kijizawadi flani Cha ku kizushi= 50,000
Nauli= 10,000 ya boda kumsogeza barabarani, Kisha Namfata mwenyewe.
Posho ya uchafuzi= 100,000
JUMLA= 370,000
NB: Hii Mara nyingi huwa inacheza mpaka 500k kutegemea na matumiz ya chakula& vinywaji
Saiv mwanetu umeacha kuchambua mikeka umehamia kwenye michanganuo ya kuchakata mbususu
 
Usafir 30k anatoka Tabora dar nn

Mwanaume unakunywa safar 2k*5

Den serenget light 2*5

Lodge 20k

Msosi chips kuku 3500*2
 
Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd

Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.

JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???
Kijana mambo ya kufanya na mke...tena wa ndoa on ur 30th + anniversary huko.... Wataka fanya na dem?

Mtajiuzulu wengi sana kwa hali hii.
 
Back
Top Bottom