Wanaume hii bajeti inapita?

Wanaume hii bajeti inapita?

Kwa hio bajeti unambato K 10 tofauti pape rivasaidi za buku 5 tano jumla 50k

Halafu tano unakula mchemsho wa kuku pembeni pale

Jumla 55k

Halafu 15k unakula kilamanjaro 15 za buku jero maisha yanataka nini zaidi

Jumla 70k

Unabakiwa na 150k unaenda nunua bati 13 taratibu unaanza ujenzi mdogo mdogo

Mkuu 150k bati 13? Upo Tanzania hiihii au umehama?
 
Kwa hio bajeti unambato K 10 tofauti pape rivasaidi za buku 5 tano jumla 50k

Halafu tano unakula mchemsho wa kuku pembeni pale

Jumla 55k

Halafu 15k unakula kilamanjaro 15 za buku jero maisha yanataka nini zaidi

Jumla 70k

Unabakiwa na 150k unaenda nunua bati 13 taratibu unaanza ujenzi mdogo mdogo
Mbususu zipo Tu tena zabei yakawaida natamu balaa,Mda mwingine wanawake tunawalazimisha wenyewe Kutufanyisha biashara yamapenzi,kwakuwahudumia Sana tofauti namatarajio Yao,unakuta demu Kaja kwako hajatarajia kutoka nahela ww unampatia200k,lazima ataaanza kukupigia mitoko kikubwa nabudget heavy
 
Ndo mana watu wanageuzwa sponsor aisee!, huku kina uledi wanapewa bure mtaani au kwa kachori za buku tu.
True brother,dahh,watu mapenzi wameyageuza butter trade,akupe mbususu umpatie pesa,kitu ambacho sio sahihi Sana,pesa itumike only in needs mfano kama demu wako kapatwa namatatizo au kafiwa au anauguliwa,namengine yanayofanaan nahayo
 
Sahivi kama unakutana na demu lazma ujipange kifedha lasivyo utakua mnyonge sana. Ipo hivi unakutana na pisi yako kesho weeknd

Usafiri weka 30k
Dinna weka 40k
Mtaenda kiwanja kikali bajet ya drinks kadiria atakunywa savanna 6 wewe heineken 6 kadiria kama 70k baada ya hapo utahitaji hotel kali au lodge ni 50k ndo uhakika utaenjoy na mgegedo utakua mzuri. Asubuhi utampa cash minimum 30k.

JUMLA 220,000/= hii bajeti imekaaje masela hauvimbi weeknd ???
Pesa nyingi sana kuipoteza just to leak that cum! Kama unaweza nikopeshe nikulipe 250K after some time nina jambo muhimu la kuifanyia
 
Watu huku wanajua kuongeza 0 kwenye figure kama wasanii wetu tu...mtu anatoa 20k kwa dem ila anajifanya kumwandalia bajeti ya 200k..mmeanza kurudisha ile JF ya zaman ya kila mtu kuja na story kuwa ana kigari au nyumba kumbe ni uongo mtupu
 
Watu huku wanajua kuongeza 0 kwenye figure kama wasanii wetu tu...mtu anatoa 20k kwa dem ila anajifanya kumwandalia bajeti ya 200k..mmeanza kurudisha ile JF ya zaman ya kila mtu kuja na story kuwa ana kigari au nyumba kumbe ni uongo mtupu
OYAAAAAAAAAAAAAA😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom