Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Boflo acha kujishushia hadhi. Nilikuwa nakuheshimu sana lakini baada ya kuona unavyotoa hukumu ya jumla bila hata chembe ya utafiti nimekushit. Lini uliwahoji wanaume wote ukajua hawana huruma na wadada? Je hao wadada wanaoweza kuwachuna wanaume na kuwatukana kuwa ni mabuzi wana huruma na wanaume? Tit for tat makes more sense.
Kutokana na mamboninayoyaona,watu wengi wanazidi kulalamika na baadhi ya watu wa karibu wamekuwawakinieleza jinsi wanavyoumizwa hawawengi ni wadada. Wadada wengi siku hizi tunalalamika wanaume wamekuwa Wakatili. Mi ninakubaliana nao kwa asilimia 100 Kweli Wanaume wamekuwa Wakatili haswa. Hawajali anymore lakini ninikimesababisha Wanaume kuwa Wakatili siku hizi?? Tujadili.....