sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,435
- 5,102
- siku zote mtu analala kwenye shuka chafu, siku akija mwanamke ndo anafua (wendawazimu).
- Anakula chakula cha ajabu, siku akikutaa na mwanamke ndo anatumia hala kula chakula kizuri (ujinga)
- anajua kabisa kua mwanamke fulani ni mke wa mtu halafu anatembea nae (roho mbaya)
- anaweza akaombwa hela na mwanaume mwenzake akasema hana lakini akiombwa na mwanamke akampa.