Wanaume embu nisaidini hili


Asante kwa ushauri mkuu
 
maswali yako magumu sana, nimeshindwa kujibu hata moja

yaani wewe ungekuwa mwalimu wanafunzi wangekukoma
 

bila shaka huyu ndiye wa kumlaumu.
Ndoa unaitafsiri vbaya kutendwa au kutoelewana sio kwamba ndo kukufanye uichukie ndoa.
 

Hahaaaaaaaaa nimeipenda hiyo ya viatu vya kokoko na mwendo wa naomi loo
 
Wanaume ni wabaya wanyama wauwaji wanyanyasaji

hii thread yako ilikuwa inanijia kichwan kila siku skujua kwann umelalamika hivyo lakin nilipoona kaulizako humu nikaona ngoja nikuibulie hapa.
Bila shaka huyu mtu uliyemlalamikia hapa ndiye kakufanya uchuki raha ambayo wenzako wanaipata. Jaribu ingia ulimwengu wa wapendao.
Bebe wangu christine ibrahim anajua hilo
 
Last edited by a moderator:

Not men only myself naweza jipa raha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…