Wanaume embu nisaidini hili

yani akianza mapicha picha
ujue kashakuchoka tu coz
y aanze kudai u-hot leo,kipindi
cha nyuma hakujua kuna u-hot?ebooo!!
 

Exactly!! Plus definition ya 'hot' ya Nyani Ngabu, I can say you have everything in your hands. But dont expect tukupe maujanja kabisaaa, umeona wapi we ukampa adui yako mbinu zako za kivita??!:banghead:
 
Last edited by a moderator:
Exactly!! Plus definition ya 'hot' ya Nyani Ngabu, I can say you have everything in your hands. But dont expect tukupe maujanja kabisaaa, umeona wapi we ukampa adui yako mbinu zako za kivita??!:banghead:

Hahahahahaaaa! Nimemwambia aje piemo anambwera tu na kung'aang'aa sharubu!
 
Last edited by a moderator:

muombe mungu akuongoze
 
Mmh kurudi huyu mngoni amentesa sitaki arudi ila nataka kujifunza where i did wrong? Ndo maana. Nikataka mnifunze

oooh kumbe ni mngoni...
hao bn dharau na kejeli ndo penyewe.pole

usikimbilie kwenye mahusiano mengine haraka utakutana na mengine zaidi na kuhisi mwaka ni wako..
Pia jitahid kuwa wa garama kidogo
 
As to me...kwanza naamin telin sum 1 to b hot tht means on bed...sion kama inahusiana na
muonekano wa nje..

Pili kuhus suala la mawasiliano....apa watu wako tofaut sana....kwa mfano kwa mm hua napenda km nimpendae yupo mbali nikip intach nae kias cha angalau nijue routine zake frm morn to bed tym....sasa apa kunaweza kua na utata coz unaweza kudhan tunawasiliana vzr kumbe mwenzio naona magep.....(kwa mfano unatoka kazn...wat u to tel me...il nijue mda gan utakua umefka om.afta tht thngs goes well...)

Kuhusu mwanaume kubadilika kwa kias kikubwa kunaweza kuchangiwa na mwanamke mwenyew kias cha anaweza kuona bora atafte substitute maisha yaende...(apa ubize mara nyng unakua sabab....) hakunaga mwanaume ambae anafraia mahusiano na gal ambae she z always bizy...ukum txt after 39 min ndo anajib ...sory bby was kind of bizy....to hell!!!!!

Historia inasaidia sana kusimamisha mahusiano....means atlist u hav to hold on to ups and doen il bdae when t comes to choices angalau uonekane chaguo....kila mara kuanzisha mahusiano kidgo tu umezingua costs alot.....

Unless b blessed.....
Spells unchecked!!!
 

Hapo ndo penyewe
 

Thanks for advice mkuu... ila wanaume ni viumbe vya ajabu sana aisee. Nitafanyia kazi
 
Thanks for advice mkuu... ila wanaume ni viumbe vya ajabu sana aisee. Nitafanyia kazi

Tht works both ways...nyie pia kuna situayions hua mna-act weird(not sure of spelling)...so ts a matter of kuvumiliana....

Uvumilivi ndo mpanho mzima.
 

Ukiona hivyo ujue either HAUELEWEKI, au NIMEKUCHOKA, na siwezi kukuchoka kama sijapata mwingine, kwa lugha nyingine wa chukua 50 zako!
 
Aisee...mambo kama hayo yanapokudhuru ktk ujue kabisa kuwa Hugo...mwanaume hakupendi. Au ameshapata alicho kitaka kutoka kwako(kufanya mapenzi Na wewe). Au amekuchokaaa...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…