miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
- Thread starter
-
- #201
miss chagga jitahidi uwe hot.
Au ndio ile uwiiii! Yesu na malia we thomba tu dhambi za kwako. Huku umejilalia hata kuzungusha nyonga hutaki
Kuwa hot kuna variables nyingi sana ndani yake...
Ntarudi baadae kushusha madesa yake..
wadada nitumieni PM kwa mnaohitaji eenh! attach kabisa na namba zenu za M-pesa! lol.
ha ha ha haha mimi nipo hot sema yeye ajaridhika na mimi labda
basi fanya ile mambo ya pic nione kama upo hot kweli
Asante kwa ushauri mkuu
dah! una mawazo kama yangu ingawa naonekana sijielewi,sijapenda lakini ukweli ubaki kuwa ukinichoka,nimekuchoka kiroho safi 2achane maswala ya kubembelezana/kunyenyekeana wakati kuna mambo ya msingi,,hayapo
Baby tangu tu tukorofishane mwaka 2014 ndiyo umekuja kunishtaki humu? ngoja leo ukirudi nyumbani utanieleza vizuri 😉 😀Mkuu acha kabisa alafu ukwel anaujua alafu anakutesa tu..
ha aha yalishaisha mbonaBaby tangu tu tukorofishane mwaka 2014 ndiyo umekuja kunishtaki humu? ngoja leo ukirudi nyumbani utanieleza vizuri 😉 😀
Afadhali kama yameisha,, sasa urudi nyumbani leo mapema nina ka zawadi kako...ha aha yalishaisha mbona
haya leo mapemaaaa nipo nyumbaniAfadhali kama yameisha,, sasa urudi nyumbani leo mapema nina ka zawadi kako...
nakupenda pia mkuu hii thread nani kaifokonyoa huko loh.miss chagga njoo kwangu bibie. Nakupendaga kuliko mwanamke yeyote hapa JF
Habari zenu wanaJF
Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
- Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?
- Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?
- Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?
- Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.
- Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Naombeni msaada wenu please.
Asante mbarikiwe
nina mwingine thread ya mwaka juzi loh .. nilishatembeza kibutiVipi angalau sasa shemeji amekukubali ameacha zile za kusema hauko hot na mengineyo?
ndiyo kipenzi cha moyo wangu.. mi dhambi itakayonifanya ule mlango uwe mwembamba zaidi ni pombeWallahi pombe itakoma![emoji23][emoji23][emoji23].......Hamna namna,wewe rudiana tu na mpenzi wako mpendwa-pombe![emoji1]
pole na me sijui nani kaufukua huko ulipokuwa umelalammmmm sijui nimefikaje kune huu uzi