Preety
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 433
- 153
- Thread starter
- #21
Acha ushabiki!
Humu kuna ke wanaponda wanaume na kuna me wanaponda wanawake!
...
Ingekua vyema ungetumia "TUBADILIKE!"
Ila wanaume ndo mnaongoza kwa malalamiko, mmeanza ndo maana na sisi wakati mwingine tunaona tuwajibu kwa style hizo,
Na ww uache ushabiki maandazi hapa!