Perpendicular
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,494
- 1,185
Utafiti umefanyia mkoa gani tuanze hapo kwanza?
Teh na wakati wanaambiwa ukweli ili wajirekebishe jaman sasa wao ni povu tuu

Akikujibu unimention/tagUmeshafanya research kwa wanaume wangapi mpaka useme wengi hawajui mapenzi?
Ndo maana watu wazima
wanazidi kupendwa,maana mapenzi
ni sanaa.Na sanaa ni mazoezi
watu wamekariri kusugua tuuuu!!
Kwani mapenzi ni kuosha masufuria?
Pamoja na baadhi ya wadada kupenda
pesa,lakini wakati mwingine
watu wazima hii sanaa wameifanya
siku nyingi hivyo wana mazoezi
ya kutosha,na vijana tubadilike
ili tusiendelee kupokonywa
na kusingizia kipato.Ni hayo TU
Yani we acha tu kila siku linaibuka jipya sasaTufanye aje bibie mbona haujatoa ushauri kama sio kuwasugua saana tuwafanyaje?
maana kwa hii miluzi mtatupoteza sasa
Asilimia kubwa ya wanaume hawajui mapenzi, ni vurugu mechi tu na kuchoshana, wanajua kusugua sana ndio mahaba yenyewe . Badilikeni wake zenu nao,wafurahie tendo.
Nadhani yamekukuta makubwa kadada pole sana ndo uanamke huo.BADILIKENI MAPENZI SIO UWANJA WA VITA
aisee..nyie mmebadilika??Kilio cha wanawake wengiiii hawajuii utamu wa tendoo. BADILIKENI
Avatar + IDAsilimia kubwa ya wanaume hawajui mapenzi, ni vurugu mechi tu na kuchoshana, wanajua kusugua sana ndio mahaba yenyewe . Badilikeni wake zenu nao,wafurahie tendo.