Wanaume Badilikeni

Wanaume Badilikeni

Uje kujaribu kufanya tendo na mwanaume mimi,,
Hutojuta,,
 
Asilimia kubwa ya wanaume hawajui mapenzi, ni vurugu mechi tu na kuchoshana, wanajua kusugua sana ndio mahaba yenyewe . Badilikeni wake zenu nao,wafurahie tendo.
wewe ndiyo ubadilike waambie wanaume zako wakuguse sehemu unayohisi ukikunwa unakunika
 
Wanawake Mungu anawaona... tusiposugua mnalalamika, je tufanyeje?
 
Asilimia kubwa ya wanaume hawajui mapenzi, ni vurugu mechi tu na kuchoshana, wanajua kusugua sana ndio mahaba yenyewe . Badilikeni wake zenu nao,wafurahie tendo.
Waelekeze ukunwe vp

Sio kulala tu pasi kutoa pendekezo wafanye nini

Daniel Agger

"mwanaume mashine"
 
Hebu sema bibie unataka uwe wafanywa nini kama sio kusuguliwa.


Namaanisha wakati wa kuoga

You get what you work for not What you wish for
 
Back
Top Bottom