Mkuu hata moja hilo unakuta linakuwa kwa dakika 3 au 4 tuuuShida sio idadi ya magoli shida ni yanapigwa kwa muda gani? maana kuna mtu anaweza piga bao tatu kwa nusu saa ila mwingine akapiga bao moja kwa dakika 40 so uskalili unaweza pigwa mojatu ila la maana.
Ahsante kwa ukinipenda nakupenda piaNakupenda jovitha
Mbn kesha mjibu moja ulikuwa wapAkikujibu naomba unitag....
nawaongelea wanaume wote mkuu
Hapo kwenye nipe nikupe ndiyo ipoje mkuu?
AhaaNamnaanisha kutoa support mkuu, kama alivyoninyaka mtoa uzi.
Come n try me!Habari za jumapili wana MMU,
Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?? Mnawatesa watoto wenzenu mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto??Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndio chakula chenu kikuu hebu badilikeni waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni acheni uchafu, unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???
Hahaaa kwani uwongoSubhannalah......
Afadhali, twende zetu plutoShukia hapa nakusubiria....
HahahaHakuna kushuka, ndio kwanzaaa spidi imeongezeka hadi tufike wote.
Umetupa jiwe gizan lazima, kuna mtu limempigaHabari za jumapili wana MMU,
Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?? Mnawatesa watoto wenzenu mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto??Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndio chakula chenu kikuu hebu badilikeni waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni acheni uchafu, unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???